dracular
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 769
- 1,069
Ange solve vip?? Wazungu wana msemo wao mmoja unasema"call spade a spade " maana yake mwizi muite mwizi... usimuite kibaka wakati kaibamakonda huyu hivi hana style nyingine ya kusolve matatizo. kiki kila mahali
hakuna ajuae kesho