Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm naona bora Wema naye afungwe tu kama Lema. Halafu tuene jinsi miccm it aka tonic hang any a! You won't believe kauli za utata utata zitakavyokujaMange mwenyewe ni suala la muda labda asirudi bongo maana wanamsubiri kwa ham kweli kweli na mkumbuke ni miaka kumi
Duh!!unanilipa sh ngapi? unikome mbwa wewe,kamwambie mama ako akutumie clip
duh hi ngoma tamu aiseh,Tena huyo alitakiwa akamatwe ili amtaje boss wake.
Bila shaka hakujua kuwa anarekodiwa, aliyemrekodi hamtakii mazuri wema.Mange anazidi kupalia makaa ya moto tu. Wema hakujua Kama anarekodiwa? Wanasemaga mdomo huponza kichwa
Naendelea kuufanyia kaz mchanganuo wako Mkuu.Mchanganuo wa video clip hii kwa nionavyo:-
1. Wema hajakanusha kwamba hahusiki na madawa yakulevya -moja kwa moja yuko guilty!.
2. Anategemea favor, influence ya mfumo kumweka huru. .
3. Anasema wazungu wameachiwa mbona wao ndio wamebaki, kwa hiyo anataka aachwe huru waendelee kama watakavyo.
4. Anataja na mateja wengine "Agness".
5. Nimegundua shule ni ufunguo wa maisha.
a) mtu gani mweye elimu yake japo kidogo angesema "tumesikia anataka uwaziri....". Huu si ujuhan sana? Kutaka uwaziri kwa mtu na kushindwa kujitetea kwa mtuhumiwa kuna husiana nini? Kwa hiyo aachwe tu aendelee kuua watu kwa sababu hakuna kiongozi anayeonyesha kujali? Uwaziri wa Makonda utakuja kwa kazi zake, lakini hakuna uzalendo wa mtu utathibitiska kwa kuwaogopa waharifu kwa sababu wana macho ya kutisha.
b). Sijawahi kufikiria mtu katila level hii, anaweza kuwa na akili za kitoto kwamba fulani mbona kaachwa? Akidhani kwamba kwa kuwa mwingine hajakamatwa kwa kuwa ni "mwanamke wa rc na kamjengea nyumba sijui kampangishia nyumba makongo", kutapelekea kumwondolea hatia ya mashitaka.
Nani washauri wa Wema? Mbona mnawamcha anaangamia huku mkiona? Mpeni maarifa na hekima basi japo kidogo. Au na wshauri wake ni wa kiwango cha ngono, kujionyesha na kugombana tu?
Pole kwa Watanzania wote!
Nop! Mange is very smart upstair that girl. You wont catch her like a sitting rabbitSio bongo tu,huko huko watamsomesha namba muda tu haujafika.
Mmh naona mambo yanazidi kuwa mazito baada ya audio clip ya wema kuvuja akimkashifu mh paul makonda alipokua kituoni,jambo lililonisikitisha ni kumuita muheshimiwa m*t*k* kweli is it fair? yule ni kiongozi tumbukeni jamani naona tunamchezea kama mpira, wema anajiingiza kwenye matatizo mazito sana na serikali, akumbuke kuwa hagombani na makonda anagombana na serikali ya CCM awamu ya tano,sasa sijui kama vita yake ataiweza.
Haya turudi kwenye ubuyu,kumbe makoo anatoka na msambwinungwa? duh na kapangiwa nyumba makongo,mmmh haya mapya aiseeh duh hii ni nomaaa
Shida ni watu wa karibu na wema.....Kama familia ya wema inampenda binti yao impige stop mange kua mtetezi wa wema mtandaoni anamharibia sana wema. clip zote karusha mange na kuziwekea jina lake kutafuta sifa na followers wengi.
Na hapo ndio inabidi tujifunze si kila anayekuchekea ni mzuri kwakosidhani kama alijua kuwa anarekodiwa.....inawezekana alikuwa na watu wake wa karibu akajiachia kumbe wenzie wanamrekodi
Tena hili la viroba Mheshimia waziri wa Mambo ya Ndani ni mdau wetu humu jama ukienda vijijini ndio kunatisha viroba vinauwa nguvu kazi ya Taifa mdau wetu tunaomba sana uangalie hili swala jicho la tatu.,tunampongeza Kwa kazi ya nia ya dhati kabisa kupambana na janga hili limalizalo vijana kuliko HIV.Pia tunamuomba apambane na janga La viroba pia ni shida zaid ya madawa.
Majina ya kiceleb ni noumaMsambinungwa ndio nani ?
Suala la Masogange hakuna asiyejua.... alikamatwa South Afrika... kama wewe hujui basi utakuwa unaishi IrelandBasi ushaidi tiyari umekamilika kama wema mwenyew anazbitsha kwamba masogange ajatajwa maana yake wema anausika na madawa na anawajua wenzake!! Birds of the same feathers do fly together