Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
Hawa ni miaka 250 tuwanatusumbua miaka mingi na hela zao za midawa sasa yeye atukane ila hatoki leo......
Kwani huyu Wema si yule binti aliyezunguka nchi nzima na mama Samia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni miaka 250 tuwanatusumbua miaka mingi na hela zao za midawa sasa yeye atukane ila hatoki leo......
Itakuwa alimchukulie bwana yake maana hizi hasira anazionesha dhidi ya Wema siyo za kawaida kabisaTofautisha polisi na mahakamani ndugu
Halafu hivi wewe una ugomvi na huyo Wema? Naona unamtakia mabaya kila kukicha!
Kwa obssession uliyonayo kwake nahisi kama alimpitia bwana ako!
ahahaaa masogange anakula btaKampangishia nyumba makongo,nimeshangaa sana masogange kutotajwa na aliwahi kukamatwa,jamaa wanacheza na akili za wajinga,eti tumwombee
wacha iwe mbaya mwaga ugali nimwage mbogaHii audio itamtokea puani wema sepetu...bora angekaa kimya tu...na hapo ajajua kuwa alikuwa recorded
we muache ajifanye staa mpaka kituo cha polisi,makonda hata awe malaya au shoga,bado ni kiongozi wetu tu heshima mbeleBinamu mambo ya sheria ni magumu sana unadhani makonda alikurupuka? Na mateja zaidi ya 100 na wale wauzaji wanawataja hao kua ndio huwaletea unga, kumbuka makonda ana RCO, Ana RSO na kamati ya ulinzi na usalama iko chini yake .
Aje aturize mtima nnuko mbali na masogange
anavyosema mbona agnes hamkamati ina maana ni kweli na yeye yumo but ana hasira mange hajatajwaDaah Wema anasema RC anakula Masogange kampangia Makongo ndiyo maana hamkamati pamoja na kukamatwa live SA.
Tena huyo alitakiwa akamatwe ili amtaje boss wake.anavyosema mbona agnes hamkamati ina maana ni kweli na yeye yumo but ana hasira mange hajatajwa