Ww huelew unachozungumza si kila jambo lazima kuchangia mambo mengine kama huna uelewa wa maswala fulan kaa kimya tu.Bila kuogopa wala kuficha maneno waliokamatwa wote ni uonez kwasababu(1) hawana ushahidi wa moja kwa moja(2)watumaiaji waliokamatwa ni end user na hawajui hata wanaowauzia wanautoa wapiji(3)kauli ya wema sepetu inaitaji kuchunguzwa tujue ukwer masogange vipiiiiiii
Mkuu hawa wanawake (Mange na Wema) sio size yako.Wema ni mwanamke mzuri lakini Mungu kamnyima akili (uwezo binafsi wa kufikiri na kupambanua mambo)
Ishu hii ni kubwa inatazamwa na watu wengi hakutakiwa kuongea lolote wala kumkashifu mtu, alafu yule mange kimambi wa Instagram nae anamponza Wema sana
Mambo anayoongea yamejaa ujinga mwingi sio rafiki mzuri kwa Wema
wakimbana zaidi atamtaja hadi makonda
kasangezi001 umenisaidia mkuu kunijibia huyo bwana mdogo (kutokana na reply yake ya post namwita dogo) nimeandika mara 2 namtafutia jibu ila naishia kufuta tu.Ww huelew unachozungumza si kila jambo lazima kuchangia mambo mengine kama huna uelewa wa maswala fulan kaa kimya tu.
Nape ametoa ushauri mzuri sana: busara itumike - isipotumika ina maana mambo yatakuwa mambo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mjini patamu haki ya mama tenaSana...
Ila achana na masogange... ile ya wenye hoteli kiachiwa na "boss"
What strategy do you think he can use to overcome the situation....? Hapa Hakuna cha kik kama mlivyo karirishwa. Makonda go.....!!!!makonda huyu hivi hana style nyingine ya kusolve matatizo. kiki kila mahali
hakuna ajuae kesho
nasubiri difenda ya bure kama chidi vitz!!!!!!Babes mambo vipi? Hujaitwa
Le ga dem mtakozy hahahahaa... u know Masogange
Anafikiri watu wamelala hajui hata hao wanaompa kichwa kwenye sauti pembeni ndio wamemponza nasikia mzee kashaipata Audio sasa sijajua what next [HASHTAG]#hiinchisioyamchezomchezo[/HASHTAG]sidhani kama alijua kuwa anarekodiwa.....inawezekana alikuwa na watu wake wa karibu akajiachia kumbe wenzie wanamrekodi
Yapi? Yakutembea na masogange? Kwani sio rijali.Haya makonda yako hayo sijui utasemaje?
Ukweli na usemwe hata mama mchungu lakin massage sentHapo anatafuta kesi juu ya kesi.
Unajua maana ya kumdhalilisha mtu?acha ushabiki wa kijinga wewe.Angepewa tu na kesi nyingine,,,uwezi kumdhlilisha Kiongozi kisa we ni drug dealer