Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Watampoteza huyo
 
duh hawa wasanii waweza tahamaki wakafungwa hivihivi aiseeee
 
Yeye akijibu mashtaka tu akifikishwa kizimbani kwani polisi walimkuta na misokoto ya bange na vielelezo vya kuasharia anatumia ngada. Dah makonda mjanja sana alipowaambia waje wenyewe central wakafikiri wanaenda kufanya bongo movie au kutoa single, hawakujiandaa kama kwamba wanaweza wasirudi na kwenda kukaguliwa afterwards[emoji22] bila kujua kwamba sikuzote polisi sio rafiki yako....na mazingira haya kweli ya ngosha.

Ndio maana analia na wengine...,
 
Anasema kile Watanzania wanataka kusikia. Angalia hii thread inavyokimbia!
Ninakubaliana na wewe inabidi afanye vitu vitakavyo msahidia kwenye kesi yake zaidi ya kutafuta wafuasi wa kwenye mitandao!
Wafuasi kwenye mitandao ,how?! Sioni akijadili suala hili kwenye page zake
 
Wale TISS ambae kazi yao ni kula bata club hadi club na wakati mwingine hujifanya ni wakenya au wauza madawa unadhani hawana taarifa za kila mmoja?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Yaani mwanaCCM anamwita mwanaCCM mwenzake Matako?

Kwanini CCM waitane Matako?

Sio jambo zuri.

Ila hilo la Masogange nalo ni jipya.

Wema anajiongezea Bifu juu ya Bifu, Kesi juu ya Kesi.
 
We nae kwa hela ip aliyonayo kungekalika mjin
Hivi wewe dada mbona kusoma hujui hata picha uoni?? ulitaka amwage barabarani ndio ujue anazo?? Wema ana gege kubwa sana nyuma yake linalompa kiburi na pesa ndefu hata viongozi wetu wanamtumia kwenye mishe zao na hata wafanyabiashara wakubwa kiufupi wema ni muuzaji unga na mwili ila sio mtumiaji namjua fika









OVER
 
Hili zigo lishamfia makonda....huyo wema hana cha kupoteza mpaka.sasa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni msipompa Mungu atawaadhibu kama waleeee wa rombo gadhabu ya Mungu inatisha!
Jana nilikuuliza wewe ni teja ukatukana.
Sasa leo tena nakuuliza waweza kuwa zimeshakuisha kichwani labda kama umeshtua tena.
Je wewe U teja?
 
Kuuumbe
 
Acha Ujinga Kijana, Hekima Si Kipaji Ni Kuruhusu Ubongo Kufikiri Kwa Mapana Zaidi
Wewe ndio mjinga kuliko mm, kwahiyo kusema alicho sema ndio hekima?
 
Lakini tuliwaambia kina wema ccm itawatumia kama kondom
 
🙁hehehe kete 299 si sawa na kopo la kahawa tu,Serikali na mkuu wa mkoa Makonda acha kuonea watu,wakamateni wahusika wa kweli
 
Ha ha ha. Chukua kinywaji hapo kaunta, Bili n'talipa. HALAFU kuna baadhi ya vijana wa CHADEMA nao wamegeuka kuwa watetezi wa Uhalifu.

Huyu Wema Sepetu is a damn fool. Aendelee tu KUJITEKENYA.

RC Makonda, kaza Mkuu. Hakuna kumuonea haya MTU hata kidogo. Ukitaka kumuua nyani usimwangalie usoni.

Hili sakata sio la mapenzi, ni la madawa ya kulevya. Tuwekeni upuuzi pembeni Ili tuwaokoe ndugu zetu wanaongamia Na kupoteza nguvu kazi ya Taifa kwasababu ya MASHETANI WACHACHE.

RC Makonda USIOGOPE, Na tunajua hauogopi. Unasapoti ya Serikali Na Amiri Jeshi Mkuu wa NCHI yetu, Rais MAGUFULI Na zaidi ya YOTE MUNGU ANAKUUNGA MKONO.

Utatoboa tu. Kaza
 
Full Audio Wema Afunguka yanayomkuta Rumande na yanayoendelea kuhusu kupekuliwa hadi nyumbani kwake.

Pole sana dada,mimi nawalaumu Polisi wa Tanzania kwa kuwa mbumbu kwasababu Mkuu wa mkoa kasema wamekwenda kuvamia nyumba za raia na kuanza kusachi bila ya kuwa na kibali cha mahakama,bila ya kuwa na uhakika wa hizo tuhuma..
Tanzania tunakwenda wapi,Mkuu wa mkoa anazuia raia wasiachiwe kwa dhamana.Mungu ibariki TZ
 
Mungu atakutendea kwa wanao kwa kosa hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…