Amrish Puri
JF-Expert Member
- Dec 11, 2016
- 274
- 379
kusema kwamba masogange hajamtaja maana yake anakiri kuwa wanapiga nae dili za ngada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watampoteza huyoMmh naona mambo yanazidi kuwa mazito baada ya audio clip ya wema kuvuja akimkashifu mh paul makonda alipokua kituoni,jambo lililonisikitisha ni kumuita muheshimiwa m*t*k* kweli is it fair? yule ni kiongozi tumbukeni jamani naona tunamchezea kama mpira, wema anajiingiza kwenye matatizo mazito sana na serikali, akumbuke kuwa hagombani na makonda anagombana na serikali ya CCM awamu ya tano,sasa sijui kama vita yake ataiweza.
Haya turudi kwenye ubuyu,kumbe makoo anatoka na msambwinungwa? duh na kapangiwa nyumba makongo,mmmh haya mapya aiseeh duh hii ni nomaaa
Wafuasi kwenye mitandao ,how?! Sioni akijadili suala hili kwenye page zakeAnasema kile Watanzania wanataka kusikia. Angalia hii thread inavyokimbia!
Ninakubaliana na wewe inabidi afanye vitu vitakavyo msahidia kwenye kesi yake zaidi ya kutafuta wafuasi wa kwenye mitandao!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Wale TISS ambae kazi yao ni kula bata club hadi club na wakati mwingine hujifanya ni wakenya au wauza madawa unadhani hawana taarifa za kila mmoja?
Yaani mwanaCCM anamwita mwanaCCM mwenzake Matako?Mmh naona mambo yanazidi kuwa mazito baada ya audio clip ya wema kuvuja akimkashifu mh paul makonda alipokua kituoni,jambo lililonisikitisha ni kumuita muheshimiwa m*t*k* kweli is it fair? yule ni kiongozi tumbukeni jamani naona tunamchezea kama mpira, wema anajiingiza kwenye matatizo mazito sana na serikali, akumbuke kuwa hagombani na makonda anagombana na serikali ya CCM awamu ya tano,sasa sijui kama vita yake ataiweza.
Haya turudi kwenye ubuyu,kumbe makoo anatoka na msambwinungwa? duh na kapangiwa nyumba makongo,mmmh haya mapya aiseeh duh hii ni nomaaa
Hivi wewe dada mbona kusoma hujui hata picha uoni?? ulitaka amwage barabarani ndio ujue anazo?? Wema ana gege kubwa sana nyuma yake linalompa kiburi na pesa ndefu hata viongozi wetu wanamtumia kwenye mishe zao na hata wafanyabiashara wakubwa kiufupi wema ni muuzaji unga na mwili ila sio mtumiaji namjua fikaWe nae kwa hela ip aliyonayo kungekalika mjin
Jana nilikuuliza wewe ni teja ukatukana.Hili zigo lishamfia makonda....huyo wema hana cha kupoteza mpaka.sasa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni msipompa Mungu atawaadhibu kama waleeee wa rombo gadhabu ya Mungu inatisha!
KuuumbeHuyu binti alikua anatafutwa tuu aingiee kwenye kumi na nane wamtengue kiuno' kile kitendo cha kufanya vile VIGOMA kuambatana na vijana wa mjini (mashoga) watu walikua wanamtaftia tuu kumi na nane maaana alikua anaonekana yeye ndio sponser wa zile show na sponser wa mashoga
Wewe ndio mjinga kuliko mm, kwahiyo kusema alicho sema ndio hekima?Acha Ujinga Kijana, Hekima Si Kipaji Ni Kuruhusu Ubongo Kufikiri Kwa Mapana Zaidi
Kwann aingize issue za kuwa anatembea nae? Angesema tu mtu flani anauza madawa na ushahidi huu hapaWema hajawahi kamatwa hata na dona,kamtaja huyo kwa sbb alikamatwa SA,akiwa na mzigo mkubwa sana.
WALIKUWA HAWAJUI HATA YULE MKONGO WA WEMA HATA SIO MKONGO HAHAHAHAHA HAHAHAHAHA MZIKI MTAMU HUU....[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ngoja waje.....utawakomahahaaahahaaa hii muvi inazidi kunogaaa.....naomba na wanachama wa CHAPUTA wakamatwe........natania
Ha ha ha. Chukua kinywaji hapo kaunta, Bili n'talipa. HALAFU kuna baadhi ya vijana wa CHADEMA nao wamegeuka kuwa watetezi wa Uhalifu.Nampongeza sana muheshimiwa makonda kwa hatua hii alaf natamani sana aisikie na hii audio ili moto uwe mkubwa zaidi kwa wema na huyo mwenzake anae ropoka kwenye background... Funga kabisa hawa watu wanatesa sana vijana kwa madawa.. Alaf muheshimiwa usiogope kuchukiwa na watenda dhambi wachache... Hata Yesu hakupendwa na watu wote sembuse wewe??? Funga kabisa wakaponde kokoto za reli yetu mpya ya standard gauge kama muheshimiwa jpm alivoagiza...
Full Audio Wema Afunguka yanayomkuta Rumande na yanayoendelea kuhusu kupekuliwa hadi nyumbani kwake.
Mungu atakutendea kwa wanao kwa kosa hiliMmh naona mambo yanazidi kuwa mazito baada ya audio clip ya wema kuvuja akimkashifu mh paul makonda alipokua kituoni,jambo lililonisikitisha ni kumuita muheshimiwa m*t*k* kweli is it fair? yule ni kiongozi tumbukeni jamani naona tunamchezea kama mpira, wema anajiingiza kwenye matatizo mazito sana na serikali, akumbuke kuwa hagombani na makonda anagombana na serikali ya CCM awamu ya tano,sasa sijui kama vita yake ataiweza.
Haya turudi kwenye ubuyu,kumbe makoo anatoka na msambwinungwa? duh na kapangiwa nyumba makongo,mmmh haya mapya aiseeh duh hii ni nomaaa