Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Ndo niko hapa anafanya mpango nayo dhamanaNenda Central ukamsaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo niko hapa anafanya mpango nayo dhamanaNenda Central ukamsaidie
uko mbale na masogange ehhWema Sepetu
Mimi siitaji kujua kama anajiusisha au la. Nacho ongelea hapa ni kwamba serikali hisionee watu pasipo ushaidi. Kama amekamatwa akijiusisha na biashara hiyo pamoja na evidence, itakuwa sawa anastaili kushughulikiwa kisheria.Je unajua kuwa anajihusisha na hiyo biashara?
Hiyo ya kutukana ndio itamfunganimefurahi sana maana anajiongezea kesi juu ya kesi,anamtukana mkuu wa mkoa? hajui kuwa anamtukana pia raisi,muache apumzike jela tu.
wema ameeleza hali halisi.
makonda analazimisha ushahidi kwa kulazimisha sijui nani petit kwa bastola na kipigo ili amseme wema.
hii uadio haina kosa lolote zaidi ya jamii kumjuu makonda na nia yake mbovu. wema anasema wao wamehojia na kusachiwa nyumbani kwao hawajapata chochote na makonda kakasirika sana . sasa bado mnamuona makonda ana nia nzuri ?
pia wema anasema wale wazungu wa mahoteli na Dragon na mediterenian wameachiwa baada kuja makonda kuwahoji...jee mnajua maana yake nini ? hapa wema ametoa ushahidi kuwa makonda kacheza na hela...hili suala kama shisha....unapiga kibano kutoza kodi.....msikilizeni vizuri...
Aise ...kwaio atamtaja kwel na mzigo amempaMasogange alishakuwa cleared na mzigo aliokamatwa nao ilikuwa ni raw materials ambayo inatumika kutengeneza dawa za binadamu, ingawa pia inaweza kutumika kutengeneza madawa ya kulevya.
NB: Kama kweli Makonda anatoka na Masogange nampa pongezi, maana ule mzigo duh!
Aise ...kwaio atamtaja kwel na mzigo amempa
Mimi siitaji kujua kama anajiusisha au la. Nacho ongelea hapa ni kwamba serikali hisionee watu pasipo ushaidi. Kama amekamatwa akijiusisha na biashara hiyo pamoja na evidence, itakuwa sawa anastaili kushughulikiwa kisheria.
Kama alivyosema Magu, kwamba mtu anakamatwa na ushaidi tosha wa pembe za ndovu lakini polisi wanadai bado wanafanya uchunguzi! Uchunguzi gani wakati kidhibiti kiko? Kwahiyo kama kidhibiti kipo cha Wema kujitiisha na unga ni sawa kushughulikiwa.
Na kama hamna kidhibiti basi aachiwe maana itakuwa ni uonevu tu, eti kwa sababu Mkuu kamtamtaja, basi anamakosa!
Aisee hii ni hatari!!!Alikuwa anapiga umbea na Team Wema!
Walienda kumtembelea ndo akawa anaropoka hivyo..
Na hizo audio aliyezipata wa kwanza kazinunua laki moja IG..
Wema hana rafiki japo yy anapenda marafiki...