Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Everybody is having fun but we. Wema just call my name and I will be there.
 
Mmh naona mambo yanazidi kuwa mazito baada ya audio clip ya wema kuvuja akimkashifu mh paul makonda alipokua kituoni,jambo lililonisikitisha ni kumuita muheshimiwa m*t*k* kweli is it fair? yule ni kiongozi tumbukeni jamani naona tunamchezea kama mpira, wema anajiingiza kwenye matatizo mazito sana na serikali, akumbuke kuwa hagombani na makonda anagombana na serikali ya CCM awamu ya tano,sasa sijui kama vita yake ataiweza.

Haya turudi kwenye ubuyu,kumbe makoo anatoka na msambwinungwa? duh na kapangiwa nyumba makongo,mmmh haya mapya aiseeh duh hii ni nomaaa
Atatulizwa tu
 


======

Sakata la Madawa ya Kulevya limechukua sura mpya kufuatia mwanadada mashuhuri Wema Sepetu, ambaye ni mmoja wa watuhumiwa, kutoa ya moyoni juu ya sakata zima la kukamatwa kwao na kuhusisha tukio hilo na hila dhidi yake.

Pamoja na mambo mengine, Wema amedai kwamba RC Paul Makonda anatembea na Agnes Masogange na amempangia nyumba Makongo ndio maana hajakamatwa ktk kadhia ya Dawa za Kulevya.

Operesheni ya kukamata wanaojihusisha na madawa ya kulevya ilianzishwa na Paul Makonda mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo alitaja majina ya watu mbalimbali wanaohitajika kituoni kwa ajili ya mahojiano, wakiwemo wasanii na maaskari polisi.

=====
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda Simon Sirro amesema kuwa mpaka sasa Jeshi la Polisi linawashikilia watuhumiwa wa Dawa za Kulevya 112 na jumla ya kete 299 huku 12 kati yao wakifikishwa Mahakamani.

Kwa taarifa hii soma > Makonda: Watuhumiwa madawa ya kulevya kuanza kupandishwa kizimbani leo au kesho


- Bongo bwana raha sana hahahahahaha Masongange anatembea na RC mpaka kampangia nyumba hahahaha

le Mutuz
 


======

Sakata la Madawa ya Kulevya limechukua sura mpya kufuatia mwanadada mashuhuri Wema Sepetu, ambaye ni mmoja wa watuhumiwa, kutoa ya moyoni juu ya sakata zima la kukamatwa kwao na kuhusisha tukio hilo na hila dhidi yake.

Pamoja na mambo mengine, Wema amedai kwamba RC Paul Makonda anatembea na Agnes Masogange na amempangia nyumba Makongo ndio maana hajakamatwa ktk kadhia ya Dawa za Kulevya.

Operesheni ya kukamata wanaojihusisha na madawa ya kulevya ilianzishwa na Paul Makonda mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo alitaja majina ya watu mbalimbali wanaohitajika kituoni kwa ajili ya mahojiano, wakiwemo wasanii na maaskari polisi.

=====
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda Simon Sirro amesema kuwa mpaka sasa Jeshi la Polisi linawashikilia watuhumiwa wa Dawa za Kulevya 112 na jumla ya kete 299 huku 12 kati yao wakifikishwa Mahakamani.

Kwa taarifa hii soma > Makonda: Watuhumiwa madawa ya kulevya kuanza kupandishwa kizimbani leo au kesho

Hakiyamungu Kuchanganyikiwa kubaya,badala ya kutafakari jinsi ya kujinasua anaanza ujinga,sisi hatutaki kujua love affairs za watu,makonda ni binadamu he can bang whoever he wishes to bang,kama masogange anatumia amtaje akakamatwe,kwani makonda anakamata watu?si ni askari?awataje wote kama masogange yupo,amehojiwa na makonda au polisi?taja mama we taja tu usiwe na huruma.
 
Mmh naona mambo yanazidi kuwa mazito baada ya audio clip ya wema kuvuja akimkashifu mh paul makonda alipokua kituoni,jambo lililonisikitisha ni kumuita muheshimiwa m*t*k* kweli is it fair? yule ni kiongozi tumbukeni jamani naona tunamchezea kama mpira, wema anajiingiza kwenye matatizo mazito sana na serikali, akumbuke kuwa hagombani na makonda anagombana na serikali ya CCM awamu ya tano,sasa sijui kama vita yake ataiweza.

Haya turudi kwenye ubuyu,kumbe makoo anatoka na msambwinungwa? duh na kapangiwa nyumba makongo,mmmh haya mapya aiseeh duh hii ni nomaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duuhhh!Ila wema naona km kaamua kujilipua kama mbwai na iwe mbwai!
 
Binamu mambo ya sheria ni magumu sana unadhani makonda alikurupuka? Na mateja zaidi ya 100 na wale wauzaji wanawataja hao kua ndio huwaletea unga, kumbuka makonda ana RCO, Ana RSO na kamati ya ulinzi na usalama iko chini yake .
Hiki kitu ndio watu wanafikiria kuwa jamaa wamekurupuka,....thy are so smart na hii vita wanajua wanaipigana na nani....kwa msomi na mtaalamu kama sirro hawezi kuanzisha vita na adui asiyemfahamu....wema hata kama hahusiki direct na hajui chochote kuna mtu karibu yake anajua...tusubiri baada ya saa 72 hivi baada ya tamko la mheshimiwa
 
Sisi hatuhitaji kujua nani anatembea na nani, kubwa ni nani anahusika na madawa ya julevya, na kama huyo masogange naye anahusika na utumiaji au uuzaji a mdawa ya kulevya, basi mkuu wa mkoa nae anatakiwa mauite kama alivyowaita wengine, na kama hatafanya hivyo wakati pengine ana ushahidi basi tutajua ya kuwa zoezi hili ni la kisasi
 
Hii muvi ndo habari ya mjini imekuja wakati muafaka isingekuwepo wa mikoani mngetusema sana mkoa wetu kushika mkia matokeo kidato cha nne ,lkn imekuja mahala pake ndo hbr ya mjini.Tukimaliza La madawa,tuingie LA viroba,tukimaliza viroba tuingie LA kuwataja wezi,majambazi na vibaka maarufu watukoseshao amani ili tuwe huru km Rwanda usiku unatembea Bila hofu,kule jamii huwataja kisha wanapotezwa kimya kimya ndo maana ni nadra sana kusikia matukio ya uharifu sababu ya ishirikiano ktk ya wananchi na serikali. Tuunge mkono mapambano vijana wanaangamia.
 
Back
Top Bottom