Dawa za mapenzi ya kibatari mlipuko na utambi wa sanda na Karatasi ya kupepea kwenye mti. Tabora ni baba lao

Dawa za mapenzi ya kibatari mlipuko na utambi wa sanda na Karatasi ya kupepea kwenye mti. Tabora ni baba lao

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Niende kwenye mada wanyamwezi ni nyoko si mwanaume si mwanamke mapenzi yao wote ya kichawi, mvuto na wito wa kutumia dawq kumuita unaemtaka.

Hivi mkoa wa tabora sikonge wanyamwezi huu upuuzi wameutoa wapi.

Kizinde changu kimewashinda kila walichojaribu wapi mwamba nimeiva.

Leteni visa vyenu vya mapenzi ya dawa na ulozi wa mapenzi.

Lete lete visa hivyo.

Wadiz.
 
Kaka usinikumbushe kuna mganga yuko turiani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanza nichekeeee!!

Yule boya usiku saa 9 katupeleka mtoni kutuogesha aisee!! Akaninyoa zivu [emoji1787] akaanza kunisafisha alinipiga finger izo mpk nikamwambia bro tuheshimiane km hizi ndio dawa zenyewe sitaki!!
 
Kaka usinikumbushe kuna mganga yuko turiani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanza nichekeeee!!

Yule boya usiku saa 9 katupeleka mtoni kutuogesha aisee!! Akaninyoa zivu [emoji1787] akaanza kunisafisha alinipiga finger izo mpk nikamwambia bro tuheshimiane km hizi ndio dawa zenyewe sitaki!!
Ungeliwa kimasihara[emoji28][emoji28]
 
Kaka usinikumbushe kuna mganga yuko turiani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanza nichekeeee!!

Yule boya usiku saa 9 katupeleka mtoni kutuogesha aisee!! Akaninyoa zivu [emoji1787] akaanza kunisafisha alinipiga finger izo mpk nikamwambia bro tuheshimiane km hizi ndio dawa zenyewe sitaki!!
Khaa atakua mnguu huyo[emoji1787][emoji1787]
 
Kaka usinikumbushe kuna mganga yuko turiani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanza nichekeeee!!

Yule boya usiku saa 9 katupeleka mtoni kutuogesha aisee!! Akaninyoa zivu [emoji1787] akaanza kunisafisha alinipiga finger izo mpk nikamwambia bro tuheshimiane km hizi ndio dawa zenyewe sitaki!!
We ni me au ke?maana contradiction nyingi humu
 
Niende kwenye mada wanyamwezi ni nyoko si mwanaume si mwanamke mapenzi yao wote ya kichawi, mvuto na wito wa kutumia dawq kumuita unaemtaka.

Hivi mkoa wa tabora sikonge wanyamwezi huu upuuzi wameutoa wapi.

Kizinde changu kimewashinda kila walichojaribu wapi mwamba nimeiva.

Leteni visa vyenu vya mapenzi ya dawa na ulozi wa mapenzi.

Lete lete visa hivyo.

Wadiz.
Mbona haujaeleza chochote hapo?Eleza usomeke.
 
Kaka usinikumbushe kuna mganga yuko turiani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanza nichekeeee!!

Yule boya usiku saa 9 katupeleka mtoni kutuogesha aisee!! Akaninyoa zivu [emoji1787] akaanza kunisafisha alinipiga finger izo mpk nikamwambia bro tuheshimiane km hizi ndio dawa zenyewe sitaki!!
Alitaka uloe akuzagamue[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom