ndugaseli
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 869
- 2,405
Ya jamaa wako vzurMm mwenyewe naipenda sana hii dawa, cjawahi kutumia dawa ambazo ni expensive ila kwa hizi za mid range-price naona hii ni nzuri sana, japo kwenye maduka ya kawaida ni ngumu kuzipata