Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwa Max fresh ambayo kuna normal max fresh(rangi nyekundu) na herbal max fresh (rangi ya kijani). Ni dawa nzur sanaaakiukweli nilijua izo sensodine ni nzuri but hovyoo ni kama AHA ya buku tu, ila kuna Colgate moja nzuri niliitumia kipindi flani ina viparticle kama vya srcub ivi ilirudisha weupe wa meno yangu sana na ufresh wa mdomo unauhisi kabisa
Mkuu ninazo naziuza na naweza kukufikishia popote ulipo ni Tsh 10,000 tuitabidi niitafute hii...shukrani boss
Colget Triple action. Ni nzuri sana hata me naitumia hiyo.Iyo Colgate inaitwaje mkuu
Za ujazo gani?Mkuu ninazo naziuza na naweza kukufikishia popote ulipo ni Tsh 10,000 tu
Call 0714547830
75mza ujazo gani?
Asante sana mkuuu...inapatikana kwenye maduka ya dawa dsm?Colget Triple action. Ni nzuri sana hata me naitumia hiyo.
poa mkuu tuombe uzima nitakutafuta Mungu akipenda113g
Shukrani sana ila hapo kwenye ujazo nilichanganya madesa ni 75mpoa mkuu tuombe uzima nitakutafuta Mungu akipenda
poa hamna shidaShukrani sana ila hapo kwenye ujazo nilichanganya madesa ni 75m![]()
Hii hapa, ukiwa Tayar nichek nakuletea popote ulipo Kwa dar
Mi nashangaa humu watu wanaiponda, tangu nishauriwe na Dr Kenneth wa Hindu Mandal, mwaka sasa na naona improvement kubwa sana!Sensodyne, very good!
Mkuu na mimi ni muumini wa SENSODYNE, nilishauriwa na Dr Kenneth wa Hindu Mandal, aiseee meno yako powa kabisa sasa hivi!Kwa Ulinzi wa MENO Yasiume,au kama yanakuuma sensodyne ni the best nilianza kutumia last 2 weeks baada ya kuona kwenye Tv Dr.mmoja akisema inasaidia meno yenye Ganzi,yanayouma na
kwenye Maduka ni Tsh 10,000- 15,000 tuu ni the best kwa kweli acha tuuu
Listerine ikoje Mkuu? Inapatiana wapi? Bei Je?Sensodyne very good vry good Mkuu usiache kuitumia hii na huta juta... huuwa vijidudu....unajua unatakiwa kutumia dawa sio tuu inawesafisha meno yawe meupe lakini zaidi iuwe vijidudu vilivyobakia
Pia msisahau akama mna muda kutumia hata listerine kwa kusukutua mara moja moja
kumekuwa na copy nyingi ya hizi dawa cha msingi ni kuangalia inatoka wapi mfano sensodine nadhan ya zambia/SA ni bora sanakiukweli nilijua izo sensodine ni nzuri but hovyoo ni kama AHA ya buku tu, ila kuna Colgate moja nzuri niliitumia kipindi flani ina viparticle kama vya srcub ivi ilirudisha weupe wa meno yangu sana na ufresh wa mdomo unauhisi kabisa
NIPE SHULE UNATUMIAJEMajivu ni kiboko
Mkuu majivu Kama ukipata ya kuni...huto jutia yawe yamepoa to unachukua kiasi unasukutua kawaida tu na mswaki Safi,nawa na maji ya Moto week tu jino ngaringari no harufu 24/7NIPE SHULE UNATUMIAJE