Dawa za meno ambazo ni nzuri kwa ulinzi wa meno

Dawa za meno ambazo ni nzuri kwa ulinzi wa meno

Upo lakini kamanda? Raha ya kusoma namba ni chorus kama ile ya darasa kwa kwanza kwa style ya 'shkamoooooooooooo mwaaaaaaaaaalimu'!

Hey King'asti nipo best, habari za masiku tele...nilidhani umetoweka kipande ya JF
 
Mm natumia sensodyne meno yangu yameacha kuuma na hayatoboki tena pia wakati mwingine huwa nasukutulia mafuta ya karafuu pia husaidia kulinda meno na kuimarisha fizi NB: pia zingatia kupiga mswaki angalau Mara mbili kwa Siku tena wakati wa usiku ni muhimu zaidi kabla hujakwenda kulala piga mswaki zingatia hiyo ratiba ifanye sehemu ya maisha yako then utaleta mrejesho hapa
 
hydrogen peroxide 3% nimeshatumia chupa mbili lakini meno hayawi meupe
 
Ukienda Super Market Hata Kitu Cha Buku Watakwambia Bku Ten Ubora Huwez Kutofautisha I Will Try Sensoday
 
Wakuu mimi binafsi natumia colget Advanced whitening kina ujazo wa 75mil si nyingi ila bei yake ni Tsh. 4,500 hii nzuri sana watoto wa Arusha utawakamata sana si unajua yale meno yao.

Je wewe unatumia Dawa gani? ili niweze ku shift kama ni nzuri zaidi! kuna hizi wanaziita sensodine naona zipo za aina nyingi na sijazikubali ni vigumu kugundua feki.

NB: Make sure Colget unayotumia made in Thailand au Brazil.
Tumia madeoral hutajutia
 
Lol. Umenikumbusha mbali.

Nilikuwaga sipendi kabisa Colgate. Lakini uja uzito wangu wa kwanza ulinifanya nianze kuipenda na mpaka leo ndiyo ninayotumia.

Sio herbal. Ile ya kawaida nyeupe.
 
Huku kwetu bila whitedent ya kijani yenye mswaki, hutakaa uone wanunuzi wa dawa ya meno dukani kwako
 
Back
Top Bottom