Dawa za meno ambazo ni nzuri kwa ulinzi wa meno

Dawa za meno ambazo ni nzuri kwa ulinzi wa meno

Nimetumia
Whitedent
Colgate
Close up
Sensodyne

Nimesukutua LİSTERİNE, na nyingine sikumbuki,

Nimesukutua Mchanganyiko wa Limao, Mdalasini, asali na İle nini sijui bikabonet,

Nimesukutua Chumvi na magadi

LAKİNİ TATİZO LA KUNUKA KİNYWA LİKO PALE PALE.
Nakosa amani sana maishani.. [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Nisaidieni!!!!
 
World Dentists Association wamekubaliana kwamba dawa za meno ziko kwa ubora kama ifuatavyo:

1. Sensodyne
2. Crest
3. Colgate

Pamoja na ku list hizo dawa hapo kulingana na ubora wake lakini mambo yafuatayo ni lazima kuyatilia maanani

1. Jinsi ya kuutumia mswaki, wengi wetu huwa tuna maarifa haba ya kuutumia mswaki na mara nyingi hulifanya zoezi hilo kwa haraka sana kuliko inavyohitajika

2. Uhalisia wa Bidhaa
Nimeishawahi kutana na Sensodyne zinazotembezwa na Wamachinga zilikiuzwa bei rahisi sana nilipokuja kuzitumia niligundua zimechakachuliwa hivyo hazikuwa na ubora. Dawa ambayo sijaona kuchakachuliwa ni Crest labda kwa sababu siyo maarufu sana sokoni

3. Jina Moja Malengo Anuwai
Unaweza ukalalamika dawa haijakusaidia lakini Sensodyne au Colgate uliyochukua haiko sawa na mahitaji yako. Kuna Sensodyne kwa ajili ya kuripea, kungarisha au kuondosha kutu hivyo ni muhimu kusoma kasha la dawa kabla hujanunua au pata ushauri toka kwa dentists
 
ikigijo, Dah sasa mkuu mimi kuna sensodyne nanunua alfu sita 6k moja ni ya blue blue hivi ile fluid yake na imgine fluid yake ni nyeupe.

Ipi iko bora na vipi natambua feki..?
 
@Adilinanduguze,Mimi meno yangu yametoboka,hayaumi ila sometimes nikijifyonza kama yanatoa damu hivi.

Ipi dawa nzuri..?
 
Mimi meno yametoboka asee naulizia dawa fulani ipo kama petroli rangi yange uki sukutua na kupigia mswaki meno yanakua poa.
 
Naona hii no 3 ndo tatizo lilipo!
Crest sijawahi Iona,nitaijaribu@Adilinanduguze,
 
kiukweli nilijua izo sensodine ni nzuri but hovyoo ni kama AHA ya buku tu, ila kuna Colgate moja nzuri niliitumia kipindi flani ina viparticle kama vya srcub ivi ilirudisha weupe wa meno yangu sana na ufresh wa mdomo unauhisi kabisa
Colgate max
 
Mimi meno yametoboka asee naulizia dawa fulani ipo kama petroli rangi yange uki sukutua na kupigia mswaki meno yanakua poa.

Kuna Colgate ya Maji inaweza kukufaa. Ila Tumia Mouth Wash imeandikwa Lasterine kuna yenye rangi ya kijani na Gold (Nakushauri tumia ya rangi ya Gold ni nzuri zaidi unaweza kusukutua na kupigia mswaki) Then baada ya hapo tumia Colgate Herbal ni poa sana isipokuwa shida fake ni nyingi. Colgate Origanal ni ya Thailand au Brazil.

NB: Kwa meno yaliyotoba kitu kinachosaidia zaidi ni usafi wa meno kupiga mswaki mara tatu/kila baada ya kula nje ya hapo yatakuzingua tu maana mabaki ya chakula yakikaa siku kama tatu yanatengeneza uchafu/usaa unaoleta maumivu na uharibifu zaidi
 
Me natumia colgate maxfresh ambayo ina box kama la redbrown (kuna zenye box la blue)hivii au ukisema maximum spiced unapatiwa iwe dukani kwa mangi au supermarkets zinapatikana 3500-4000 ,hizo sensodyne ,ile aloe hamna kitu japo dr wanashauri
 
Bright ya forever 15,000 mwisho wa maneno kwani inakaa mdomoni Muda mrefu sana na inakata harufu mbaya mdomoni inayotokea kwenye tonsils au tumboni Halitosis
Hii itanifaa maana ninatoa harufu mbaya sana isiyevumilika

Wanangu wa A town inakuaje??
 
Back
Top Bottom