BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Maeneo yatakayokosa Maji ni Chalinze, Mboga, Ruvu Darajani, Ruvu JKT, Vigwaza, Mlandizi, Mbwawa, Visiga, Maili 35, Misugusugu, Kongowe, Soga, Miembe Saba, Kwa Mfipa, Mwendapole, Tanita, Kwa Mathias na Kwa Mbonde, Picha ya Ndege, Lulanzi, Kibaha na Kiluvya.
Maeneo mengine ni Kibamba, Mbezi, Magari Saba, Mbezi Inn, Mbezi, Kimara,Tabata, Segere, Kinyerezi, Kisukuru, Bonyokwa, Msigani, Maramba Mawili, Kimara B, Kimara Korogwe, Bucha, Baruti, Ubungo, Magomeni, Ukonga, Uwanja wa Ndege, Kiwalani, Vingunguti, Gongo la Mboto, Pugu na Kisarawe.
DAWASA imewakumbusha wananchi kuhifadhi maji ya kutosha ili kuwa na hifadhi ya kutosha kipindi chote cha matengenezo.