KERO Dawasa kwanini Hakuna Maji Maeneo ya Kimara, na hamtoi taarifa Yoyote

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

GenuineMan

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2017
Posts
6,260
Reaction score
14,470
Ni karibu mwezi sasa maji ya dawasa yanatoka kwa machale maeneo ya kimara.

Yaani, yanatoka kwa masaa 24, baada ya hapo hayapo mpka baada ya siku tatu ndio yanatoka tena.

Mfano mara ya mwisho mabomba kutiririsha maji ni siku ya jumanne, hadi leo hakuna kitu.

Na hii hali ina karibia mwezi sasa.

Dawasa tunaombeni taarifa.

Kwanini kila mwaka shida ya maji ni ileile hakuna utatuzi wa kudumu.

Hapa chini ni baadhi ya replies za wananchi wakilalamikia maji.

Pia soma: KERO - Wakazi wa Kimara Korogwe tumechoshwa na mgawo wa Maji, DAWASA mko wapi?

 

Attachments

  • Screenshot_20241213_134741_Chrome.jpg
    436.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20241213_134754_Chrome.jpg
    276.7 KB · Views: 5
Hakuna maji eneo kubwa sana sio kimara tu, wahusika wamepiga kimya.
 
Hawa jamaa mi nishasahau ata kama wanatoa huduma ya kusambaza maji safi.
 
Kuna hili lifanyakazi Lao linaitwa Everlasting Lyaro,nadhani ndio lenye kitengo cha huduma kwa wateja,linawqjibu wateja majibu ya hovyo utadhani lenyewe ndio limiliki la hiyo Dawasa.
 
Week inaishia sasa, Tangazo linasa maji yamekatika Kwa siku moja yaani saa zisizozidi 24
 
sisi GOBA tuna mwezi sasa hatuna majii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…