KERO Dawasa kwanini Hakuna Maji Maeneo ya Kimara, na hamtoi taarifa Yoyote

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Nipo mlandizi kibaha, huku kuoga nusu ndoo ni anasa. Wamekumbwa na nn hawa jamaa
Inawezakana kuna mgao wa kimyikimya,
Ila hawawezi kusema sababu tunaelekea kipindi cha uchaguzi.
 
Pugu huku story ni hiyo hiyo wiki ya pili sasa Dawasa kisarawe hajibu hata malalamiko ya wananchi. Wakisha mzarau waziri. Zamani walikuwa wanasingizia booster kibamba baada yakununuliwa na kufungwa mpya hawana cha kusingizia! Inabidi tu wapige kimya wanasubiri mwisho wa mwezi watatoa ya kuja kudaia madeni.
 
Nipo mlandizi kibaha, huku kuoga nusu ndoo ni anasa. Wamekumbwa na nn hawa jamaa
Nilikuwa kibaha pia maji ni ya manati.

Kwanini serikali isichimbe tu mavisima meeengi au isafishe maji ya bahari na yapo tele,

Kila siku Ruvu tu.
 
Nilikuwa kibaha pia maji ni ya manati.

Kwanini serikali isichimbe tu mavisima meeengi au isafishe maji ya bahari na yapo tele,

Kila siku Ruvu tu.
Serikali ipi hiyo

Ova
 
Nilikuwa kibaha pia maji ni ya manati.

Kwanini serikali isichimbe tu mavisima meeengi au isafishe maji ya bahari na yapo tele,

Kila siku Ruvu tu.
Serikali hii hawawezi na haitotokea wakaja wakawapa wananchi wao huduma za uhaika
Wao wanapenda kuona wananchi wao wana hangaika wateseke,ili mwananchi awe anawalamba miguu

Ova
 
Serikali hii hawawezi na haitotokea wakaja wakawapa wananchi wao huduma za uhaika
Wao wanapenda kuona wananchi wao wana hangaika wateseke,ili mwananchi awe anawalamba miguu

Ova
Sio kweli.

Matatizo ya binadamu huwa hayaishi.

Marekani na ulaya huduma za kijamii ni bora sana ila kila uchaguzi hawakosi wagombea na viongozi.

Woga na ubinafsi tu mkuu nothing else.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…