HII KERO WANAIONA BASI TU, HAKUNA ANAYEJALINimejaribu kuwasiliana kiofisi nikahisi kuna marekebisho yanafanywa, sasa naona imekuwa kero.
Wananchi wa makazi mapya Mbezi Beach wanateseka na maji ya udongo mwezi sasa.
Kila bomba ukichota ndoo imejaa udongo, kutumia maji ni mpaka usubiri yatulie uchuje.
Mnatupeleka wapi maana hatujui yanakuja na fungus ama typhoid ama mengineyo
Tokeni ofisini mje kuona wananchi wanavyoteseka.
Mwanzoni nilihisi kwetu nenda kwa jirani maji ni yaleyale mpaka uchuje.
Manager Kawe tokeni ofisini tembelea wateja chunguza shida nini tutakufa na magonjwa kuna wazee wasije ondoka mapema na magonjwa hatarishi.
Mbarikiwe.....
Usikute DAWASA wameitikia kwa vitendo wito wa World Bank wa kudhibiti idadi ya watu kabla ya 2025.Nimejaribu kuwasiliana kiofisi nikahisi kuna marekebisho yanafanywa, sasa naona imekuwa kero.
Wananchi wa makazi mapya Mbezi Beach wanateseka na maji ya udongo mwezi sasa.
Kila bomba ukichota ndoo imejaa udongo, kutumia maji ni mpaka usubiri yatulie uchuje.
Mnatupeleka wapi maana hatujui yanakuja na fungus ama typhoid ama mengineyo
Tokeni ofisini mje kuona wananchi wanavyoteseka.
Mwanzoni nilihisi kwetu nenda kwa jirani maji ni yaleyale mpaka uchuje.
Manager Kawe tokeni ofisini tembelea wateja chunguza shida nini tutakufa na magonjwa kuna wazee wasije ondoka mapema na magonjwa hatarishi.
Mbarikiwe.....
MBEZI BEACH MAKAZI MAPYA-shida inaanzia hapa kwenye jinaNimejaribu kuwasiliana kiofisi nikahisi kuna marekebisho yanafanywa, sasa naona imekuwa kero.
Wananchi wa makazi mapya Mbezi Beach wanateseka na maji ya udongo mwezi sasa.
Kila bomba ukichota ndoo imejaa udongo, kutumia maji ni mpaka usubiri yatulie uchuje.
Mnatupeleka wapi maana hatujui yanakuja na fungus ama typhoid ama mengineyo
Tokeni ofisini mje kuona wananchi wanavyoteseka.
Mwanzoni nilihisi kwetu nenda kwa jirani maji ni yaleyale mpaka uchuje.
Manager Kawe tokeni ofisini tembelea wateja chunguza shida nini tutakufa na magonjwa kuna wazee wasije ondoka mapema na magonjwa hatarishi.
Mbarikiwe.....
Duuh maji mnatoa wapi mkuuBora nyie mnapata yenye udongo yakichotwa yakitulia mnaweza mkayatumia,sisi wa Mbezi Shamba hii ya Kimara unaenda mwezi hakuna maji yaliyoonekana.
Dawasa ni wendawazimu.
Tunanunua kwa mawakala wa hao hao dawasa wanaenda kuchota kwenye visima vya dawasa kuja kusambaza mitaani.Duuh maji mnatoa wapi mkuu
Nadhani hii ni sehemu kubwa ya Dar, maji ni machafu sana sana.
UNAWEZA HISI MATAPUSHI N UDONGO HAYA N MAJI YAM.ECHOTWA SAA KUMI NA MBILI ASBHNimejaribu kuwasiliana kiofisi nikahisi kuna marekebisho yanafanywa, sasa naona imekuwa kero.
Wananchi wa makazi mapya Mbezi Beach wanateseka na maji ya udongo mwezi sasa.
Kila bomba ukichota ndoo imejaa udongo, kutumia maji ni mpaka usubiri yatulie uchuje.
Mnatupeleka wapi maana hatujui yanakuja na fungus ama typhoid ama mengineyo
Tokeni ofisini mje kuona wananchi wanavyoteseka.
Mwanzoni nilihisi kwetu nenda kwa jirani maji ni yaleyale mpaka uchuje.
Manager Kawe tokeni ofisini tembelea wateja chunguza shida nini tutakufa na magonjwa kuna wazee wasije ondoka mapema na magonjwa hatarishi.
Mbarikiwe.....