You don't even know what we were discussing with the guy I agree with his facts but the topic was how can water purification be done with the same price per unit because I know those systems are expensive.Hata ungeandika kigiriki haibadilishi pumba ulizoandika hapa
Mche huyu mwamba akubrush ilo fuvu STALIN J V ana comments zenye akili apo juu zitasaidia fuvu lako
Haiwezi kuwa sawa na hii ya sasa ni kweli lakini si gharama hivo na ishu ya production number of quantities inasaidia ku reduce costs pia gharama kuubwa ni kwnye installation, na hata hivyo we are blessed na vyanzo vya maji what if tusingekua navyo??I know what I'm talking about because one day we conducted water quality monitoring in association with EWURA and one of the key factors cited why many water supply authorities they don't do regular dosing stated that it's operations costs doesn't match with price of water because those systems are expensive.
Na mi nakazia hata iwe expensive vip, hawezikua 5k au 10k per unit.You don't even know what we were discussing with the guy I agree with his facts but the topic was how can water purification be done with the same price per unit because I know those systems are expensive.
Sawa mkuu naona umeenda upande mwingine tofauti na mada ni sehemu nimekudharau na kuhusu elimu mimi sina elimu yoyote mkuu naona unatoka nje ya mada na sio ccm na sijawahi kuwa ccm na haitakaa itokee niwe ccm .Na mi nakazia hata iwe expensive vip, hawezikua 5k au 10k per unit.
Hata ikipanda kwa 2.5k per unit hamna shida hasa pakiwa na huduma ya uhakika, kwani tunapandishiwa vingapi?? Tozo, mafuta n.k tena huduma ikiwa chini ya kiwango.
Kitu sitaki ni ninyi wenye vijielimu kutuona watanzania ni wapumbavu yaani sio wajinga, hii sio sawa kabisa wa Tz tunauelewa sasa wa nn kilicho bora na nn duni
EWURA ndio wanapanga bei lakini kuna vigezo wanaangalia hiyo bei nimetolea mfano tu mimi by the way nilitoa maoni yangu generally ila ww unayafanya personalNa mi nakazia hata iwe expensive vip, hawezikua 5k au 10k per unit.
Hata ikipanda kwa 2.5k per unit hamna shida hasa pakiwa na huduma ya uhakika, kwani tunapandishiwa vingapi?? Tozo, mafuta n.k tena huduma ikiwa chini ya kiwango.
Kitu sitaki ni ninyi wenye vijielimu kutuona watanzania ni wapumbavu yaani sio wajinga, hii sio sawa kabisa wa Tz tunauelewa sasa wa nn kilicho bora na nn duni
Ni ma chawa wa cccm tuu nchi ndo wamejawa na impossibility kwenye issues za taifa ili wauze wapate cha udalali.Sawa mkuu naona umeenda upande mwingine tofauti na mada ni sehemu nimekudharau na kuhusu elimu mimi sina elimu yoyote mkuu naona unatoka nje ya mada na sio ccm na sijawahi kuwa ccm na haitakaa itokee niwe ccm .
Nafanya personal kwasababu na wewe umejibu personal.EWURA ndio wanapanga bei lakini kuna vigezo wanaangalia hiyo bei nimetolea mfano tu mimi by the way nilitoa maoni yangu generally ila ww unayafanya personal