Dawasa msidangaye watanzania, shida ya maji bado ipo

Dawasa msidangaye watanzania, shida ya maji bado ipo

Kisesetusese

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
393
Reaction score
615
Ndugu zangu, nimesoma sehemu mhandishi huyu wa dawasa akidanganya. Pamoja na mvua zinazonyesha dsm kuna maeneo hakuna maji ikiwa ni pamoja na kinyerezi.

Ndg waandishi wa habari popote pale mnaposoma huu ujumbe fikeni kinyerezi saranga mjionee, mpate habari za kukosekana maji yapata mwezi wanne (04) sasa. Huyu mhandisi analeta siasa kwenye maisha ya binadamu. Kama maji yanafika kwake asipende kuuhadaa umma kwamba dsm ina maji.

Kwa kuwa waheshimiwa waandishi mnataka taarifa mfike, mpige na picha mpate taarifa mubashara kuwa mabomba yanaota kutu.

Ndgu Bwire usitake kudanganya, acha tuishi ila si kudanganya watu

Soma KERO - Hujuma ya Huduma ya Maji Kinyerezi - Kifuru kutoka Dawasa Kinyerezi
 
Hasomi hizi link

 
Hii habari

 
Ndugu zangu, nimesoma sehemu mhandishi huyu wa dawasa akidanganya. Pamoja na mvua zinazonyesha dsm kuna maeneobhakuna majibikiwa ni pamoja na kinyerezi.

Ndg waandishi wa habari popote pale mnaposoma huu ujumbe fikeni kinyerezi saranga ujionee, upate habari za kukosekana maji yapata mwezi wanne (04) sasa. Huyu mhandisi analeta siasa kwenye maisha ya binadamu. Kama maji yanafika kwake asipende uuhadaa umma kwamba dsm ina maji.

Kwa kuwa waheshimiwa waandishi unataka taarifa mfike, mpige na picha mpate taarifa mubashara kuwa mabomba yanaota kutu.

Ndgu Bwire usitake kudanganya, ikiwa umesomea kudanganya acha huo ujinga na uwongo kama umesomea uhamdisi wa kudanga acha tuishi ila si kudanganya watu
Hebu tulia maliza usingizi wako kwanza kisha njoo na Post inayoeleweka.
 
Kinyerezi ni jipu. DAWASA Kinyerezi wanashirikiana na wauza maji kuhujumu upatikanaji wa maji.

Kwenye magroup ya DAWASA wamejaa kiburi sana hawa watu. Wana meneja watu BM - Barton yani huyu ndio sijui anamiliki maboza kabsa.....

Wameahidi mradi wa Bangulo ungeisha tarehe 20 mwezi wa pili ila mpaka leo hakuna chochote.

Ni mwendo wa kununua maji 12k mpaka 20k kwa lita 1000....

RIP JPM
 
Sema mkuu saivi ata ukifichua hivii hawezi fanywa lolote ata onyoo hatapewa. Viongozi wako bizee na uchawa kiongozi mkuu yuko bize na kampeni. VUMILIENI TUU.
 
Ndugu zangu, nimesoma sehemu mhandishi huyu wa dawasa akidanganya. Pamoja na mvua zinazonyesha dsm kuna maeneobhakuna majibikiwa ni pamoja na kinyerezi.

Ndg waandishi wa habari popote pale mnaposoma huu ujumbe fikeni kinyerezi saranga ujionee, upate habari za kukosekana maji yapata mwezi wanne (04) sasa. Huyu mhandisi analeta siasa kwenye maisha ya binadamu. Kama maji yanafika kwake asipende uuhadaa umma kwamba dsm ina maji.

Kwa kuwa waheshimiwa waandishi unataka taarifa mfike, mpige na picha mpate taarifa mubashara kuwa mabomba yanaota kutu.

Ndgu Bwire usitake kudanganya, ikiwa umesomea kudanganya acha huo ujinga na uwongo kama umesomea uhamdisi wa kudanga acha tuishi ila si kudanganya watu
Wewe ndiye uelewi, huu ni mwaka wa uchaguzi. Maagizo ya watawala wote ni kumsifia mama, na hapo ndio kula yao inapatikana. Unataka aseme ukweli, apoteze kibarua chake?
Magufuli aliposema hata cherehani ni kiwanda, nchi hii kila mtawala aliye simama alisema Tanzania tuna viwanda 5000.
Leo hii unasikia hakuna ajira, maana yake Tangu Magufuli alipofariki na viwana vilikufa. Kwasasa wanaimba kama kasuku kumshukuru mama, hivyo ndivyo wanateuliwa na kupanda madaraja kazini kwao.

Lukuvi kasema waandike kitabu kuhusu maendeleo yaliyoletwa na mama nchi nzima, sasa utabishana naye?

Wanaimba ngonjera siyo muda wa kusema ukweli huu.
 
Jiji zima la dsm maji yanashida waache uongo dawasa na waziri ajue hilo
 
Back
Top Bottom