Watanzania amkeni, Dawasa inafanya biashara ya kuuza mipira ya maji mita pamoja na koki.
Dawasa hawana uwezo wa kutowa huduma ya kusambaza maji.
Mwenye masikio na asikie na mwenye kuelewa aelewe.
Mkombozi pekee wa tatizo la maji ni wananchi wenyewe, chaguweni viongozi imara wa mitaa, undeni kamati zenu hakikisheni mnapata visima vikubwa vya kuhudumia mtaa mzima mpaka kata.
Dawasa ni chombo cha propaganda za kisiasa kutowa takwimu za mafanikio ya serikali na siyo taasisi ya kuwapa huduma bora za maji wananchi.
Kama una pesa ya kununuwa gari IST used ni bora pesa hiyo uchimbe kisima kirefu nyumbani kwako na hawa Dawasa achana nao kabisa.