Basi nenda Gangilonga ukaone jiwe na mto ruahaBaridi hilo hapana mkuu
Image,Kalenga,Isimila na Nduli.Habari wakuu.
Kwa wakazi na wenyeji wa Iringa, naomba kufahamishwa vivutio au sehemu ambazo zinavutia nje ya mji ambazo itakuwa day trip...namaanisha nitakwenda na kurudi kulala mjini.
Ninatanguliza shukrani.
Glenn
Habari wakuu.
Kwa wakazi na wenyeji wa Iringa, naomba kufahamishwa vivutio au sehemu ambazo zinavutia nje ya mji ambazo itakuwa day trip...namaanisha nitakwenda na kurudi kulala mjini.
Ninatanguliza shukrani.
Glenn
Wewe Mkoa gani unaujua kule kwenye Wadudu?Sijui lolote kuhusu huo mkoa.
Napajua Lindi tu nilipokuliaWewe Mkoa gani unaujua kule kwenye Wadudu?
Good, barabara ni changarawe au lami?
Nenda Sao hili ukapigwe baridi la miti 😹😹😹
Nduli hii hii ya airport? Kuna nini mkuu?Image,Kalenga,Isimila na Nduli.
NB;Nimepakumbuka sana Iringa. Nilikuwa nakunywa msabe,ulanzi na kimpumu pale kilabu cha Wipinye au Mahaba Niue.
WEWE WA NYUMBANI WEWEImage,Kalenga,Isimila na Nduli.
NB;Nimepakumbuka sana Iringa. Nilikuwa nakunywa msabe,ulanzi na kimpumu pale kilabu cha Wipinye au Mahaba Niue.
Na ndio nyumbani huko Nanjilinji sijakoseaNapajua Lindi tu nilipokulia
Hapana ! LiwaleNa ndio nyumbani huko Nanjilinji sijakosea
Yeah.. Ndimgaya sidaMkuu nawe ni Kamwene?
Makasi😂😂