Dayosisi ya Konde KKKT kutawanyika?

Dayosisi ya Konde KKKT kutawanyika?

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Kuna kila dalili kwamba Dayosisi ya Konde KKKT inaweza kutawanyika na kubaki vipande vipande.

Ibilisi ameota mizizi ndani ya Konde, tena Ibilisi mwenye mapembe yake ya kiburi, hasira, ukaidi, utenganisho, fitna na kiujumla kupotea kabisa kwa upendo.

Kwa wengi tuliodhani ujio wa Dr Mwaikali ambaye ni kijana,kwa maono mapana ilikuwa ni heri kwa Kanisa.
Lakini hii miaka yake minne/mitano imekuwa ya ugomvi, kutoelewana na tabia zote zinazomwinua Ibilisi.

Wakristo wa Dayosisi hii tuombe sana.

Baada ya kikao cha Baba Askofu Shoo, Mkuu wa Kanisa KKKT cha tarehe 22/2/2022, huko Kyela na hata Mbeya Ruanda wafuasi wa Mwaikali wametoa matamko ya kumuunga mkono Askofu aliyeenguliwa na Mkutano Mkuu wa Dayosisi.

Hata hivyo Ibilisi hawezi kushinda mbele ya Mungu, maana atashindwa kama alivyoshindwa kale.
Tusali sana kuombea Dayosisi ya Konde KKKT.
 
Nyie watu wa Rungwe naona mmechukua nafasi ya Mungu. Mnajifanya wenye haki, mkihukumu wenzenu. Wakati ninyi ndio sehemu kubwa ya mgogoro. Mngekuwa na hekima ya kiMungu msingefika hapa.
 
Kama Ibilisi hana nguvu na atashindwa hakuna haja ya kusali na kuomba juu ya hilo.
Kama Dayosisi ni ya Mungu na Mungu anaitambua basi mwachieni Mungu ampige huyo Ibilisi.
 
Kuna kila dalili kwamba Dayosisi ya Konde KKKT inaweza kutawanyika na kubaki vipande vipande.

Ibilisi ameota mizizi ndani ya Konde, tena Ibilisi mwenye mapembe yake ya kiburi, hasira, ukaidi, utenganisho, fitna na kiujumla kupotea kabisa kwa upendo.

Kwa wengi tuliodhani ujio wa Dr Mwaikali ambaye ni kijana,kwa maono mapana ilikuwa ni heri kwa Kanisa.
Lakini hii miaka yake minne/mitano imekuwa ya ugomvi, kutoelewana na tabia zote zinazomwinua Ibilisi.

Wakristo wa Dayosisi hii tuombe sana.

Baada ya kikao cha Baba Askofu cha tarehe 22/2/2022, huko Kyela na hata Mbeya Ruanda wafuasi wa Mwaikali wametoa matamko ya kumuunga mkono Askofu aliyeenguliwa na Mkutano Mkuu wa Dayosisi.

Hata hivyo Ibilisi hawezi kushinda mbele ya Mungu, maana atashindwa kama alivyoshindwa kale.
Tusali sana kuombea Dayosisi ya Konde KKKT.
Dayosisi itabaki salama. Huyo si Askofu wa Kwanza wala mwa mwisho
 
Kuna kila dalili kwamba Dayosisi ya Konde KKKT inaweza kutawanyika na kubaki vipande vipande.

Ibilisi ameota mizizi ndani ya Konde, tena Ibilisi mwenye mapembe yake ya kiburi, hasira, ukaidi, utenganisho, fitna na kiujumla kupotea kabisa kwa upendo.

Kwa wengi tuliodhani ujio wa Dr Mwaikali ambaye ni kijana,kwa maono mapana ilikuwa ni heri kwa Kanisa.
Lakini hii miaka yake minne/mitano imekuwa ya ugomvi, kutoelewana na tabia zote zinazomwinua Ibilisi.

Wakristo wa Dayosisi hii tuombe sana.

Baada ya kikao cha Baba Askofu cha tarehe 22/2/2022, huko Kyela na hata Mbeya Ruanda wafuasi wa Mwaikali wametoa matamko ya kumuunga mkono Askofu aliyeenguliwa na Mkutano Mkuu wa Dayosisi.

Hata hivyo Ibilisi hawezi kushinda mbele ya Mungu, maana atashindwa kama alivyoshindwa kale.
Tusali sana kuombea Dayosisi ya Konde KKKT.
Upuuzi huu, maana unadhani mungu yupo na wanaompinga maana wewe unampinga! Yale yale ya Erythrocyte na chadema yake
 
Kama Ibilisi hana nguvu na atashindwa hakuna haja ya kusali na kuomba juu ya hilo.
Kama Dayosisi ni ya Mungu na Mungu anaitambua basi mwachieni Mungu ampige huyo Ibilisi.
Kwako ni mambo magumu kuelewa.
Lakini dalili zote za yule mwovu tunaziona dhahiri.
Mungu hajawi kushindwa mbeke ya Ibilisi.
Kuomba na kusali ni ili wewe usijekutwa ule upande wa mwovu, radi itakapoanguka.
 
TAG wao walipasuka vipandevipande wakagawana mbao nyingine ikaitwa EAGT,kwa kuwa roho ya mafarakano haijengi inabomoa hiyo roho bado inaiandama EAGT hukohuko walikokwenda kwa kuwa siyo mbinguni nako wameanza kukung'utana tena.
 
Kuna kila dalili kwamba Dayosisi ya Konde KKKT inaweza kutawanyika na kubaki vipande vipande.

Ibilisi ameota mizizi ndani ya Konde, tena Ibilisi mwenye mapembe yake ya kiburi, hasira, ukaidi, utenganisho, fitna na kiujumla kupotea kabisa kwa upendo.

Kwa wengi tuliodhani ujio wa Dr Mwaikali ambaye ni kijana,kwa maono mapana ilikuwa ni heri kwa Kanisa.
Lakini hii miaka yake minne/mitano imekuwa ya ugomvi, kutoelewana na tabia zote zinazomwinua Ibilisi.

Wakristo wa Dayosisi hii tuombe sana.

Baada ya kikao cha Baba Askofu Shoo, Mkuu wa Kanisa KKKT cha tarehe 22/2/2022, huko Kyela na hata Mbeya Ruanda wafuasi wa Mwaikali wametoa matamko ya kumuunga mkono Askofu aliyeenguliwa na Mkutano Mkuu wa Dayosisi.

Hata hivyo Ibilisi hawezi kushinda mbele ya Mungu, maana atashindwa kama alivyoshindwa kale.
Tusali sana kuombea Dayosisi ya Konde KKKT.
Ulitaka kwenda mbinguni achana na vyeo vya makanisani

Maana vimejaa wanafiki watupu
 
Hapa ndipo kuliko na Utofauti wa uaskofu wa KKKT Na ule wa RC.
RC askofu anaenguliwa na hawezi kutunisha msuli.
RC ingekuwa kama KKKT ingekuwa shughuli kumuengua Askofu Koda wa Same
 
Back
Top Bottom