Dayosisi ya Konde KKKT kutawanyika?

Dayosisi ya Konde KKKT kutawanyika?

Kwanza kabisa kwa nini hii dayosisi iajengwa Manow na Sii Mbeya Mjini??? Konde kuna nini?
Naona Mwaikali waa
shamuondoa amechaguliwa Mwakihaba. Tutarajie makao makuu ya Dayosisi kurudi Tukuyu. Lakini wanyakyusa sisi ni wabinafsi sana! Kulikuwa na shida gani Dayosisi kuhamia katikati ya mji? Mtu anayetoka Momba au Tunduma kufuata huduma za ki dayosisi ilikuwa mpaka aende Tukuyu wakati pale Mbeya mjini angepunguza gharama
 
Tatizo sio kuenguliwa, ni nani anayemuengua?? Tatizo ni madaraka, tamaa ya fedha na ubinafsi, na wengi wa wafuasi ambao hawajui kilichomo ndani wanashabikia tuu
Ameenguliwa na mkutano mkuu wa dayosisi ambao ndio chombo kilichomteua na kina mamlaka hayo.
 
Mbona rahisi tu si huyo Mwaikali na wafuasi wake waanzishe kanisa Lao.. mbona watu wa kawaida kabisa wasio hata na degree moja ya theolojia wameanzisha makanisa?
Aanzishe kampuni ya dini.
Si anamuona Mwamposa?
 
Yes hapo nimeonyesha mfano mmoja tu Bado haujagusa mkwajuni maana na yenyewe Iko upande wa huku konde
Saas mkwajuni s songwe hyo au Bado hawajapata Jimbo la kiuwaskofu

Yaani mkoa wa songwe Bado hawajapata hadh ya kuwa na askofu wake
 
Saas mkwajuni s songwe hyo au Bado hawajapata Jimbo la kiuwaskofu

Yaani mkoa wa songwe Bado hawajapata hadh ya kuwa na askofu wake
Mkoa wa songwe haujapata hadhi hiyo na pengine ungepata huo mvutano usingekuwepo, Ileje, mbozi, momba na mkwajuni zingekuwa na Dayosisi yao, ila Kwa Sasa hivi zote ziko chini ya Dayosisi ya Konde
 
Naona Mwaikali waa
shamuondoa amechaguliwa Mwakihaba. Tutarajie makao makuu ya Dayosisi kurudi Tukuyu. Lakini wanyakyusa sisi ni wabinafsi sana! Kulikuwa na shida gani Dayosisi kuhamia katikati ya mji? Mtu anayetoka Momba au Tunduma kufuata huduma za ki dayosisi ilikuwa mpaka aende Tukuyu wakati pale Mbeya mjini angepunguza gharama
Tatizo mnafikiri Tukuyu na Kyela mjini ambako nauli ni sh 3000 na 5000 ndio kwa wanyakyusa mnasahau kuna watu wa Ngonde,Isange na maeneo mengine ambayo ni either mbali au usafiri ni wa tabu!

Mwaikali na wafuasi wake hawakua na hoja za msingi zaidi ya tamaa ya fedha, Mungu mkubwa kawaumbua mchana kweupe maana karibia kila muumini hafungamani nao.
 
Ulichozungumza ni sahihi kabisa, Rungwe wao ndio wanajiona wenye Dayosisi na hawatak mabadiliko yoyote, wanachopigania ni madaraka tu na ufujaji wa Mali za kanisa, Dayosisi ya konde ilipaswa iwe Dayosisi yenye maendeleo lakini unaona hamna kitu, shule iko Moja nayo inaelekea kufa.

Eti Ibilisi ameingia kanisani, Ibilisi hawezi akaingia Sehemu hana washirika wake,kama askofu Mwaikali alikuwa hafai na kanisa limesimama katika msingi angeondolewa kupitia uchaguzi alipomaliza miaka yake 4, wala haya yote yasingekuwepo, ila wapo watu ambao tunasema ni viongozi wanapandikiza chuki miongoni mwa watu wakifikiri itawasaidia.

Wachungaji wanafukuzwa makanisani, askofu mwenyewe amefukuzwa hapo Tukuyu, Mpaka kwenye msiba ameondolewa hapo ndio mnamfukuza Shetani?
Muwe mnafuatilia kabla ndio mchangie, mkuu wewe imeonyesha huelewi huu mgogoro umeanzia wapi ila umeamua kuchagua upande kwa kutumia hisia na sio "ukweli"

Mwaikali na wafuasi wake pia washaifukuza kwaya moja kutoka Tukuyu pale KKKT Mbalizi.

Narudia tena fuatilia A to Z ya huu mgogoro ndio utajuwa ni kiasi gani Mwaikali mpuuzi.
 
Muwe mnafuatilia kabla ndio mchangie, mkuu wewe imeonyesha huelewi huu mgogoro umeanzia wapi ila umeamua kuchagua upande kwa kutumia hisia na sio "ukweli"

Mwaikali na wafuasi wake pia washaifukuza kwaya moja kutoka Tukuyu pale KKKT Mbalizi.

Narudia tena fuatilia A to Z ya huu mgogoro ndio utajuwa ni kiasi gani Mwaikali mpuuzi.
Wanyakyusa acheni itikadi za kutafta pesa kupitia dini

Kwanin ushambulie watu eti haujui mgogoro haujui nn haujui kile hujui hiki

Sasa kma ww unajua si uwaambie na uufafanue huo mgogoro watu wajue ili kilamtu apime madhaifu yako wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanyakyusa acheni itikadi za kutafta pesa kupitia dini

Kwanin ushambulie watu eti haujui mgogoro haujui nn haujui kile hujui hiki

Sasa kma ww unajua si uwaambie na uufafanue huo mgogoro watu wajue ili kilamtu apime madhaifu yako wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Typical mtanzania yaani unataka nikuelezee trend ya matukio tangu mgogoro unaanza mpaka ulipofikia si nitajaza server za JF!

Ndio maana wataalam wanakwambia "No research no right to speak" kwahiyo kazi ni kwako ukafuatilie chanzo ndio uje hapa tujadili.
 
Kabla ya kumlaumu ibilisi kwa lolote, na kabla ya kusali, kwanza waumini wajichunguze wanapojikwaa, watubu na kisha waangalie ni wapi wanampa ibilisi nafasi, wapazibe kabisa.

Na ikumbwe maombi yoyote pasipo kutubu dhambi ni kelele na kujifaraji tu.
 
Dhambi ya Lutheran kujitoa RC inaendelea kuwatafuna! Hili kanisa haliishi migogoro kila kukicha mipasuko inazidi
 
Kabla ya kumlaumu ibilisi kwa lolote, na kabla ya kusali, kwanza waumini wajichunguze wanapojikwaa, watubu na kisha waangalie ni wapi wanampa ibilisi nafasi, wapazibe kabisa.

Na ikumbwe maombi yoyote pasipo kutubu dhambi ni kelele na kujifaraji tu.
Ni kweli inabidi tutubu maana kuna mahali tumejikwaa!
Haiwezekani Ibilisi akatuendesha kiasi kile, mgogoro hauishi wala watu kupata amani kila kukicha!
Shindwa Ibilisi, shindwa kwa Jina la Yesu!
 
Kumbe hyo dayosii inakocover had uko kamsamba,ivuna pia nilidhani Ni dayoss ya tukuyu na pia Kuna ya mjini kumbe Ni moja inayohudumia sharika zote karibia zote za mbeya

Saas kumbe mwaikali ameona mbali ninvyema huduma hyo ikapatikana pale mbeya mjini itapendeza Zaid kuliko kupeleka huko migombani rungwe
Tena inafika hadi tunduma huko.. na inapitiliza kama unaelekea sumbawanga.

Mtu wa tunduma kufunga safari hadi tukuyu ni adhabu
 
Kweli Kanisa ni moja,Takatifu,Katoliki la Mitume.Hapo ndipo ninapolikubali kanisa la RC. Wenyewe wana msemo wao "Roma lacuta, causa finita " yaani maamuzi yakifanyika basi imeisha hiyo! No discussion. Nadhani walitambua hilo ili kuepusha migogoro ya aina hii.Focus iwe kuwachunga kondoo wa Bwana.
 
Saas mkwajuni s songwe hyo au Bado hawajapata Jimbo la kiuwaskofu

Yaani mkoa wa songwe Bado hawajapata hadh ya kuwa na askofu wake
Mkoa wote wa songwe na wilaya zake zina WAJIBIKA KWA dayosisi ya konde.

Nadhani dayosisi ya konde. Ndiyo dayosisi kubwa zaidii..
Kiasi chake imetoboa hadi Zambia na sumbawanga baadhi ya maeneo
 
Back
Top Bottom