Dayosisi ya Konde KKKT kutawanyika?

Hapa ndipo kuliko na Utofauti wa uaskofu wa KKKT Na ule wa RC.
RC askofu anaenguliwa na hawezi kutunisha msuli.
RC ingekuwa kama KKKT ingekuwa shughuli kumuengua Askofu Koda wa Same
Imenikumbusha mbali Askofu Koda 1999 Same
 
Hapa ndipo kuliko na Utofauti wa uaskofu wa KKKT Na ule wa RC.
RC askofu anaenguliwa na hawezi kutunisha msuli.
RC ingekuwa kama KKKT ingekuwa shughuli kumuengua Askofu Koda wa Same
Tatizo sio kuenguliwa, ni nani anayemuengua?? Tatizo ni madaraka, tamaa ya fedha na ubinafsi, na wengi wa wafuasi ambao hawajui kilichomo ndani wanashabikia tuu
 
Kugawanyika konde ni kugumu sababu ule mgogoro sio wa waumini

Waumini hawana shida ungekuwa mkubwa na kuleta mgawanyiko kama ungekuwa mvutano wa waumini

Pale mleta vurugu ni huyo Aliyekuwa Askofu Mwakikali na viongozi wachache .Kwa waumini hakuna shida.Hivyo hata aseme anaandoka leo ataondoka na hao viongozi wachache sio waumini
 
Nyie watu wa Rungwe naona mmechukua nafasi ya Mungu. Mnajifanya wenye haki, mkihukumu wenzenu. Wakati ninyi ndio sehemu kubwa ya mgogoro. Mngekuwa na hekima ya kiMungu msingefika hapa.
Ulichozungumza ni sahihi kabisa, Rungwe wao ndio wanajiona wenye Dayosisi na hawatak mabadiliko yoyote, wanachopigania ni madaraka tu na ufujaji wa Mali za kanisa, Dayosisi ya konde ilipaswa iwe Dayosisi yenye maendeleo lakini unaona hamna kitu, shule iko Moja nayo inaelekea kufa.

Eti Ibilisi ameingia kanisani, Ibilisi hawezi akaingia Sehemu hana washirika wake,kama askofu Mwaikali alikuwa hafai na kanisa limesimama katika msingi angeondolewa kupitia uchaguzi alipomaliza miaka yake 4, wala haya yote yasingekuwepo, ila wapo watu ambao tunasema ni viongozi wanapandikiza chuki miongoni mwa watu wakifikiri itawasaidia.

Wachungaji wanafukuzwa makanisani, askofu mwenyewe amefukuzwa hapo Tukuyu, Mpaka kwenye msiba ameondolewa hapo ndio mnamfukuza Shetani?
 
Shida ni viongozi hao hao huko juu ndio wanapandikiza chuki,Kwa tamaa ya madaraka
 
Nyie watu wa Rungwe naona mmechukua nafasi ya Mungu. Mnajifanya wenye haki, mkihukumu wenzenu. Wakati ninyi ndio sehemu kubwa ya mgogoro. Mngekuwa na hekima ya kiMungu msingefika hapa.
Kifupi Kyela nako kuna shida

Akishika Askofu toka Kyela lazima ahamishe Dayosisi

Wakati Askofu alitokea Kyela Askofu Mwakisunga aliposhika Uaskofu alihamisha makao makuu ya Dayosisi kutoka Manow akapeleka Tukuyu.Baadaye kaja huyu Askofu mwingine toka Kyela huyo aliyeondolewa Mwakikali naye anataka kuhamisha makao makuu ya Daypsisi tena kutoka Tukuyu yaenda.Mbeya mjini!!

Kuhamisha makao makuu ni ghararama kubwa kwa waumini
 
Naona Mwaikali waa
shamuondoa amechaguliwa Mwakihaba. Tutarajie makao makuu ya Dayosisi kurudi Tukuyu. Lakini wanyakyusa sisi ni wabinafsi sana! Kulikuwa na shida gani Dayosisi kuhamia katikati ya mji? Mtu anayetoka Momba au Tunduma kufuata huduma za ki dayosisi ilikuwa mpaka aende Tukuyu wakati pale Mbeya mjini angepunguza gharama
 
Momba Kuna usharika unaitwa Kamsamba kutoka huko Mpaka Mbeya mjini kipindi cha kiangazi ni elf 10, kutoka mby Mpaka Tukuyu 3000, na hauwezi kwenda na kurudi lazima ulale hizo gharama za Kulala na kula ni juu yako
 
Kweli mkuu lakini siye watu wa kawaida tunaenda makanisani kuomba, kutubu na kumuimbia sifa Mungu.
Tukikuta mfarakano usioisha tunakatishwa sana tamaa.
Kweli ila tunapaswa kujua Mungu ni mkuu kupitia mafarakano yao tunapata kujua mengi

Maana unajua vyeo vinapatikana kwa njia ya ushirikina mno
 
Nyie watu wa Rungwe naona mmechukua nafasi ya Mungu. Mnajifanya wenye haki, mkihukumu wenzenu. Wakati ninyi ndio sehemu kubwa ya mgogoro. Mngekuwa na hekima ya kiMungu msingefika hapa.
Yu mwepesi wa kuhukumu, usifike huko.
 
Dr Mwaikali mnataka akale polisi?
Wacha igawanyike tuwe na maaskofu na wawili na dayosisi mbili
 
Momba Kuna usharika unaitwa Kamsamba kutoka huko Mpaka Mbeya mjini kipindi cha kiangazi ni elf 10, kutoka mby Mpaka Tukuyu 3000, na hauwezi kwenda na kurudi lazima ulale hizo gharama za Kulala na kula ni juu yako
Na mimi nitakuambia kuna sharika toka Isongole na Itumba Ileje kuliko kwenda Tukuyu ni afadhali kwenda Mbeya mjini kuliko kupita chocho za Ileje
 
Jana badniko lilikuepo humu Jana mliishia wapi na leo kunann kinaendelea hapo konde

Je uchaguz uliisha na amepatikana mtu mwingine ?

Au kes ipo mahakamani

Huyu mwaikali Ni wa kyela au wa rungwe ?
Nijibu mleta mada
 
Momba Kuna usharika unaitwa Kamsamba kutoka huko Mpaka Mbeya mjini kipindi cha kiangazi ni elf 10, kutoka mby Mpaka Tukuyu 3000, na hauwezi kwenda na kurudi lazima ulale hizo gharama za Kulala na kula ni juu yako
Kumbe hyo dayosii inakocover had uko kamsamba,ivuna pia nilidhani Ni dayoss ya tukuyu na pia Kuna ya mjini kumbe Ni moja inayohudumia sharika zote karibia zote za mbeya

Saas kumbe mwaikali ameona mbali ninvyema huduma hyo ikapatikana pale mbeya mjini itapendeza Zaid kuliko kupeleka huko migombani rungwe
 
Dayosisi kubwa Sana aisee,
 
Na mimi nitakuambia kuna sharika toka Isongole na Itumba Ileje kuliko kwenda Tukuyu ni afadhali kwenda Mbeya mjini kuliko kupita chocho za Ileje
Yes hapo nimeonyesha mfano mmoja tu Bado haujagusa mkwajuni maana na yenyewe Iko upande wa huku konde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…