MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Mjaze tu mwenzio upepo Kama hataliacha V8 hivi hivi na kurudi kwenye passoAcha kutisha watu bhana. Mwache mtu afanye maamuzi hata kama akikosea ni bora kuliko DC kukaa anarekebisha tai ya shingoni tu.
Go Mwaipaya GO ON!
Hata dumu maana Kilimanjaro siyo pamchezo mchezoHongera sana DC wa Mwanga Abdallah Musa Mwaipaya kwa Kuja na Moto Mkali huko Mwanga ila Krav Maga nakushauri ipunguze hiyo Spidi yako ya kutaka Sifa za haraka kwa Mama zitakuponza na utaharibikiwa mapema sana tu.
Na SabayaWe muache ajisheue hapo
Amuulize chalamila
Kwani kafanya nini mkuu dadavua kidogoHongera sana DC wa Mwanga Abdallah Musa Mwaipaya kwa Kuja na Moto Mkali huko Mwanga ila Krav Maga nakushauri ipunguze hiyo Spidi yako ya kutaka Sifa za haraka kwa Mama zitakuponza na utaharibikiwa mapema sana tu.
Kufanya nn tena huko?
Wananchi wa Mwanga sielewi kwanini hawapendi kurekebishwa ujinga wao, mtu akija kuwarekebisha wanaanza kumtishia na uchawi na vitisho vingi vya kijinga. Mwaipaya fanya kazi yako ndugu yangu.Hongera sana DC wa Mwanga Abdallah Musa Mwaipaya kwa Kuja na Moto Mkali huko Mwanga ila Krav Maga nakushauri ipunguze hiyo Spidi yako ya kutaka Sifa za haraka kwa Mama zitakuponza na utaharibikiwa mapema sana tu.
Sijaona mantiki ya kukimbilia kamera kabla hajajiridhisha, maelezo ya Mwaipaya yalijaa ukakasiMjaze tu mwenzio upepo Kama hataliacha V8 hivi hivi na kurudi kwenye passo
Wapare wakule milimani ni hatari Sana aende kwa step kwa kweliMnataka kumpiga vyombo? Maana wapare kwa mambo hayo si haba
Hata mimi hiyo taarifa ina ukakasi sanaHilo tukio la ngamia naona anataftia kiki