ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
When ignorance is bliss to be wise is foolish....
kamwe asijifanye mwerevu kwenye kundi la wajinga.....
kamwe asijifanye mwerevu kwenye kundi la wajinga.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Maamuzi mengine ya kutaka Sifa aliyafanya Wiki iliyopita. Mimi namuangalia tu ila namuonea Huruma kwani hapo Mwanga si mahala pa mchezo mchezo hasa ukigusa Interests za Kiuchumi za Watu na ambazo 95% ni za Magendo tupu ila ndiyo zinafanya Uchumi wa Kaya / Familia nyingi huko kuwa juu.Hilo tukio la ngamia naona anataftia kiki
Anapenda sana attention na Makamera.Sijaona mantiki ya kukimbilia kamera kabla hajajiridhisha, maelezo ya Mwaipaya yalijaa ukakasi
Nimeishi huko mwaka 1993 hadi 1994 na Kujifunza mengi ya Wapare na hasa hasa hilo eneo la Mwanga. Aende taratibu Wapare ukigusa tu Interests zao utaomba Mwenyewe kwa Rais akuhamishe huko.Wapare wakule milimani ni hatari Sana aende kwa step kwa kweli
Vipi ni kama anaungua kwenye kiti?Hongera sana DC wa Mwanga Abdallah Musa Mwaipaya kwa Kuja na Moto Mkali huko Mwanga ila Krav Maga nakushauri ipunguze hiyo Spidi yako ya kutaka Sifa za haraka kwa Mama zitakuponza na utaharibikiwa mapema sana tu.
Kamzuia mtanzania/mkenya mwenye asili ya Somalia kuswaga kundi la ngamia 80+ kwa njia ya barabara kutoka Kenya hadi Dar es salaam! mwenye ngamia anasema anatafuta ada ya watoto...!Kafanyaje Mwaipaya
Mbona hanaga kiki
Ndio shida ya vijana wa kitanzania mwanakwetu hawatumii akili Ila mawazo finyu tuSijaona mantiki ya kukimbilia kamera kabla hajajiridhisha, maelezo ya Mwaipaya yalijaa ukakasi
Ila sisi wanadamu tunakuza ukifanya kazi kwa bidii unaambiwa unatafuta sifa, ukitulia tuli unaonekana mzembe na mvivu usiyefanya kazi, Watanzania kama tumerogwa, eti aende taratibu sijui kama kuna kipimo cha kazi cha kwenda taratibu au kwenda haraka, akitaka sifa si ni kwa faida ya wananchi wewe unayetaka aende polepole ni kwa faida ya nani?Hongera sana DC wa Mwanga Abdallah Musa Mwaipaya kwa Kuja na Moto Mkali huko Mwanga ila Krav Maga nakushauri ipunguze hiyo Spidi yako ya kutaka Sifa za haraka kwa Mama zitakuponza na utaharibikiwa mapema sana tu.
Daah haya mambo ya uongozi zinahitajika hekima na busara zaidiNdio shida ya vijana wa kitanzania mwanakwetu hawatumii akili Ila mawazo finyu tu
Watanzania tumekuwa watu wa ajabu, umwinyi umetuzidi sijui wanataka watu wa sampuli gani ukikaa ofisini ule kiyoyozi hao hao wanakuwa wa kwanza kutoa mabango mbele ya mkuu.Acha kutisha watu bhana. Mwache mtu afanye maamuzi hata kama akikosea ni bora kuliko DC kukaa anarekebisha tai ya shingoni tu.
Go Mwaipaya GO ON!
Wanafiki na wana wivu sana wabongo.Watanzania tumekuwa watu wa ajabu, umwinyi umetuzidi sijui wanataka watu wa sampuli gani ukikaa ofisini ule kiyoyozi hao hao wanakuwa wa kwanza kutoa mabango mbele ya mkuu.
Sasa Kama watu veting wenyewe walipata na hizo kwa nguo za kijani unahisi watachagua mtu intelligent kweli? hebu cheki viongozi chini utawala wa mwl na Mwinyi pia watu waliandaliwa, tupo nao kijiweni, tupo nao mtaan, tupo nao stand na kwenye za ibaada Ila hutakaa uelewe sio Sasa Kuna vilazaDaah haya mambo ya uongozi zinahitajika hekima na busara zaidi
Ila wapare na wagweno fitna ni sehemu ya maisha yao! Wanajisifia Sana kwa kuwa na roho mbaya!Hata dumu maana Kilimanjaro siyo pamchezo mchezo
Tutampata Mwaisabaya sasa hivi.Kafanyaje Mwaipaya
Mbona hanaga kiki
Hongera sana DC wa Mwanga Abdallah Musa Mwaipaya kwa Kuja na Moto Mkali huko Mwanga ila Krav Maga nakushauri ipunguze hiyo Spidi yako ya kutaka Sifa za haraka kwa Mama zitakuponza na utaharibikiwa mapema sana tu.
Acha kutisha watu bhana. Mwache mtu afanye maamuzi hata kama akikosea ni bora kuliko DC kukaa anarekebisha tai ya shingoni tu.
Go Mwaipaya GO ON!
Mjaze tu mwenzio upepo Kama hataliacha V8 hivi hivi na kurudi kwenye passo
We muache ajisheue hapo
Amuulize chalamila
Kafanyaje Mwaipaya
Mbona hanaga kiki
Tupo mpakani sasa yeye hajiulizi walitoboaje Kenya pamoja na covid yote.Kuna Maamuzi mengine ya kutaka Sifa aliyafanya Wiki iliyopita. Mimi namuangalia tu ila namuonea Huruma kwani hapo Mwanga si mahala pa mchezo mchezo hasa ukigusa Interests za Kiuchumi za Watu na ambazo 95% ni za Magendo tupu ila ndiyo zinafanya Uchumi wa Kaya / Familia nyingi huko kuwa juu.
We mchaga acha hizoWapare kama Wahaya yaani hapo ni ubaguzi wa kijamii tuu maana mshana hampendi Mbwambo hampendi Msuya hampendi mvungi WAPARE KILA MARA TUNAOMBA KIJIOGRAFIA WAONDOLEWE KIKIMANJARO WARUDISHWE TANGA KWA WAZIGUA NA WASAMBAA KULE KAANANI HAWAPAWEZI