Halafu hajui kabisa kujieleza wakati ni mwandishi wa habariSijaona mantiki ya kukimbilia kamera kabla hajajiridhisha, maelezo ya Mwaipaya yalijaa ukakasi
Hawa huwa wanakremishwa kilichokusudiwa kutangazwa, kwangu mimi sijajua nini hasa ilimbeba huyu mwamba hadi akapewa Wilaya...ngekewa?Halafu hajui kabisa kujieleza wakati ni mwandishi wa habari
Unamuogopa huyo? Mbona swali la kawaida tuu?Hivi Gentamycin Mkuu una ID ngapi? Sijauliza kwa ubaya usije ukaanza kunishambulia Boss.
Ha ha ha !Mnataka kumpiga vyombo? Maana wapare kwa mambo hayo si haba
Ana majibu huyo jamaa ya hatari.🤣🤣Unamuogopa huyo? Mbona swali la kawaida tuu?
Huwa anatabia za kujifanya kujua sana kumbe poyoyo tuu
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe wee muoga lol.Ana majibu huyo jamaa ya hatari.[emoji1787][emoji1787]
Mkuu tabia halisi ya binadamu nadhani imejificha akiwa brokeKafanyaje Mwaipaya
Mbona hanaga kiki
Kama sabaya vile, acha afanye.Acha kutisha watu bhana. Mwache mtu afanye maamuzi hata kama akikosea ni bora kuliko DC kukaa anarekebisha tai ya shingoni tu.
Go Mwaipaya GO ON!
Na watu wa pale wanavyoamini ushirikina hawezi ponaHata dumu maana Kilimanjaro siyo pamchezo mchezo