DC Arusha ambaye aliwahi kutoa 'Singo' ya kumsifia Magufuli kuwa ni jembe adai kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi

DC Arusha ambaye aliwahi kutoa 'Singo' ya kumsifia Magufuli kuwa ni jembe adai kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi

Huyu kihongosi magufuli ndie aliyempa maisha baada ya kumfurahisha kwa kusema atamuua zito kesho akapewa u DC Arusha.
 
Kihongosi alisema Zitto Kabwe auwawe.

Leo hii Zitto Kabwe ndio Boss wake.....maisha yanaenda kasi sana!
Na hii speach ndo ilimpa V8 na teuzi,yule Bwana Ili ule pesa yake ilikuwa ni kutishia kuua au kudhalilisha upinzani.

Hata Waitara alisema ukikutana na mtu anaemkosoa jiwe kwenye kona mmalize,kesho akapelekewa v8.
 
Hiyo track imenikumbusha mwaka jana niliomba kazi fulani hivi ambayo ilihusisha kutunga nyimbo anyway nikapita kwenye usaili wa kwana, usaili wa pili ndiyo ikawa kuandika wimbo and I wrote a hip hop song with shitty rhymes kama bwana Kihongosi.

Needless to say I was shown the door.
 
Katika hali ya kustaajabisha, DC wa Arusha Kenani Kihongosi ambae aliwahi kutoa 'Singo' niliyoambatanisha hapo chini ya kumsifia Magufuli kwa kudai kuwa Magufuli alikuwa ni jembe la kila kitu aibuka na kudai kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi...
Simple. CCM ni zaidi ya janga. Ni msiba wa taifa. Nchi inaendeshwa kwa ghilba na unafiki wa kitisho. Na hawa ndio mastar wa uongozi wa nchi.
 
Kama rais Samia hawezi kujifunza kitu kutoka kwa hawa njaa kali basi itakuwa ajabu sana. Ingekuwa mimi kila anayenisifia kupita inavyostahili ningemtumbua niwaache wale wanaonikosoa tu.

Uko sahihi kabisa mkuu, aina ya watu kama hawa ni wale ambao hukusifia ukiwepo, au ukiwa na mamlaka na madaraka, lakini ukiondoka au usipokuwa na mamlaka au madaraka uliyowahi kuwa nayo, leo hii ninakwambia, "atakulaani na kukutukana mbele ya uso wapo".

Ushauri kwa mama, "wale wanaokusifu (kitu ambacho siyo kibaya), kwa kulinganisha na aliyepita, lakini kibaya zaidi kwa kutaja mabaya ya aliyepita (huku wakijua au wakijisahaulisha kuwa nawe ulikuwa pembeni yake, yeye aliyeondoka) huku wakionesha uhodari wako kuwa ni bora kuliko mtangulizi.

Hao ni wa kuwaogopa kama ukoma. Maana na wewe siku ukiwapa kisogo tu cha uongozi au mamlaka, watakusema kwa kipimo kile kile walichokuwa wakimsema mtangulizi wako. Pia uwaambie kuwa wewe hukuwatuma kufanya ulinganifu baina ya uongozi, bali kufanya kazi ya kuwatumikia wananchi."
 
Kama rais Samia hawezi kujifunza kitu kutoka kwa hawa njaa kali basi itakuwa ajabu sana. Ingekuwa mimi kila anayenisifia kupita inavyostahili ningemtumbua niwaache wale wanaonikosoa tu.
Kwhy wewe hupendi kusifiwa eeh..?
 
Kama rais Samia hawezi kujifunza kitu kutoka kwa hawa njaa kali basi itakuwa ajabu sana. Ingekuwa mimi kila anayenisifia kupita inavyostahili ningemtumbua niwaache wale wanaonikosoa tu.
Sasa ulitaka afanye nn atafukuza wangapi watazania wote tuna asili hiyo nikuishi nao hivyohivyo
 
Kama rais Samia hawezi kujifunza kitu kutoka kwa hawa njaa kali basi itakuwa ajabu sana. Ingekuwa mimi kila anayenisifia kupita inavyostahili ningemtumbua niwaache wale wanaonikosoa tu.
Atajifunzaje wakati na yeye ni type hiyohiyo?!
Wakati makomeo anayakoroga samia alikuwa upande gani?!
 
Katika hali ya kustaajabisha, DC wa Arusha Kenani Kihongosi ambae aliwahi kutoa 'Singo' niliyoambatanisha hapo chini ya kumsifia Magufuli kwa kudai kuwa Magufuli alikuwa ni jembe la kila kitu aibuka na kudai kuwa Magufuli alikuwa ni fisad...
Huyu jamaa ni mnafiki hakuna mfano pia ana uwezo wa uongozi anabebwa tu.
 
Katika hali ya kustaajabisha, DC wa Arusha Kenani Kihongosi ambae aliwahi kutoa 'Singo' niliyoambatanisha hapo chini ya kumsifia Magufuli kwa kudai kuwa Magufuli alikuwa ni jembe la kila kitu aibuka na kudai kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi...
Siyo unafiki bali ni woga wa kuuliwa na Magufuli. Kilichompata Lissu na Ben Saanane likibaki ni fundisho kwa wote.
 
Katika hali ya kustaajabisha, DC wa Arusha Kenani Kihongosi ambae aliwahi kutoa 'Singo' niliyoambatanisha hapo chini ya kumsifia Magufuli kwa kudai kuwa Magufuli alikuwa ni jembe la kila kitu aibuka na kudai kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi...
Mkuu mbona kama umemlisha maneno?
 
Hawa ni mapopo
Katika hali ya kustaajabisha, DC wa Arusha Kenani Kihongosi ambae aliwahi kutoa 'Singo' niliyoambatanisha hapo chini ya kumsifia Magufuli kwa kudai kuwa Magufuli alikuwa ni jembe la kila kitu aibuka na kudai kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi.

Anadai kuwa katika awamu hiyo Serikali ilikuwa haiweki wazi kuwa imekopa nini na kwa matumizi gani.

Kilichonifanya nilete huu uzi siyo tu kumshangaa Bwana huyu bali nataka niweke wazi kuwa Tanzania hatuendelei kwa sababu ya kuwa na viongozi wanafiki.

Anachomaanisha huyu Bwana ni kwamba alikuwa anajua kabisa kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi lakini hakusema kipindi Magufuli akiwa hai ili kulinda ugali wake.

Katika Mataifa yaliyo serious viongozi huweka misimamo yao mbele kwa maendeleo ya Taifa.Viongozi huwa wapo tayari kujiuzulu au kufukuzwa kazi kwa maslahi mapana ya Taifa.

Lakini huku kwetu ni tofauti.Viongozi wapo tayari kutetea ujinga,ufisadi,wizi,mauaji,ukandamizaji wa wananchi na kadhalika ili kulinda ugali wao.Hapa Tanzania viongozi wapo tayari kumtetea kiongozi aliebadilika kuwa kichaa au mwendawazimu ili kulinda nyadhifa zao.

Katika hali kama hii usitegemee Taifa kuendelea kamwe.Hii ni kwa sababu pale kiongozi anapoamua kubadilika kuwa fisadi,mwizi,mkandamizaji au hata kichaa basi hulindwa na chama chake pamoja na viongozi wengine waliopo madarakani ambao lengo lao ni kulinda nyadhifa zao na wala siyo kutetea maslahi mapana ya Taifa.

CCM kwa miaka mingi imekuwa ikitoa viongozi wa aina ya huyu Bwana na ndiyo maana Tanzania miaka nenda haiendelei.Ni muda muafaka sasa CCM kukaa pembeni ili kupisha vyama vingine vya siasa ambavyo vina maono pamoja na nia ya dhati ya kulikomboa Taifa hili.
View attachment 2064795View attachment 2064796View attachment 2064797
 
Nchi hii ni sahihi tu walioimba navumilia shida
Vumilia shida
Yaan Rais wetu anawavumilia hawa jamaa
Yaan hawa ni vumilia shida navumilia tu
 
Katika hali ya kustaajabisha, DC wa Arusha Kenani Kihongosi ambae aliwahi kutoa 'Singo' niliyoambatanisha hapo chini ya kumsifia Magufuli kwa kudai kuwa Magufuli alikuwa ni jembe la kila kitu aibuka na kudai kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi.

Anadai kuwa katika awamu hiyo Serikali ilikuwa haiweki wazi kuwa imekopa nini na kwa matumizi gani.

Kilichonifanya nilete huu uzi siyo tu kumshangaa Bwana huyu bali nataka niweke wazi kuwa Tanzania hatuendelei kwa sababu ya kuwa na viongozi wanafiki.

Anachomaanisha huyu Bwana ni kwamba alikuwa anajua kabisa kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi lakini hakusema kipindi Magufuli akiwa hai ili kulinda ugali wake.

Katika Mataifa yaliyo serious viongozi huweka misimamo yao mbele kwa maendeleo ya Taifa.Viongozi huwa wapo tayari kujiuzulu au kufukuzwa kazi kwa maslahi mapana ya Taifa.

Lakini huku kwetu ni tofauti.Viongozi wapo tayari kutetea ujinga,ufisadi,wizi,mauaji,ukandamizaji wa wananchi na kadhalika ili kulinda ugali wao.Hapa Tanzania viongozi wapo tayari kumtetea kiongozi aliebadilika kuwa kichaa au mwendawazimu ili kulinda nyadhifa zao.

Katika hali kama hii usitegemee Taifa kuendelea kamwe.Hii ni kwa sababu pale kiongozi anapoamua kubadilika kuwa fisadi,mwizi,mkandamizaji au hata kichaa basi hulindwa na chama chake pamoja na viongozi wengine waliopo madarakani ambao lengo lao ni kulinda nyadhifa zao na wala siyo kutetea maslahi mapana ya Taifa.

CCM kwa miaka mingi imekuwa ikitoa viongozi wa aina ya huyu Bwana na ndiyo maana Tanzania miaka nenda haiendelei.Ni muda muafaka sasa CCM kukaa pembeni ili kupisha vyama vingine vya siasa ambavyo vina maono pamoja na nia ya dhati ya kulikomboa Taifa hili.
View attachment 2064795View attachment 2064796View attachment 2064797
Halafu wanataka sisi ambao hatukupata hata uteuzi wa balozi nyumba kumi ndio Tumsifie.
 
Back
Top Bottom