DC Arusha, Kenani Kihongosi: Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri

DC Arusha, Kenani Kihongosi: Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri

Kichaa sio lazima uvue nguo , Kuna vichaa wavaa suti , ambao ni hatari sana yaani.
Screenshot_20201218-002556.png
 
Hata sisi wananchi tupewe ruhusa ya kuwachapa viboko viongozi wasiowajibika Kama ulihaidi ahadi wakati wa kuomba kura na utaki kuitekeleza ni viboko tu. Maana pasipo fimbo atuendi
Najua unataka zile milion 50 kila Kijiji, mtamuua maana kila Kijiji akale bakora.
 
Jitu zima lenye frustrations zake linaenda kuchannel his frustrations to little kids who cant do anything eti nafundisha uzalendo?

Uzalendo ni hiyari

Kuchapa watoto wa watu ni kujenga chuki zaidi

Huyu takataka angetakiwa afungue kesi ushahidi uende wazazi wa hawa watoto walipe fidia hadi gharama za kesi sio huu upumbavu

Wakuu wa Wilaya na Mikoa ni vichaa wana mafaili Mirembe kabisa

Bure kabisa

Huyu jamaa kasababisha wananchi milioni 60 kuichukia hii serikali zaidi na zaidi

Eti uzalendo,uzalendo unaletwa kwa kuchapa watoto?

Aisee,hii mijitu ilipata zero shule inapewa madaraka namna hii ni kosa la mteuaji,mteuaji ndio tatizo zaidi hapa!

Hapa kichaa kafanya kazi yake halali ya kua kichaa,siwezi mlaumu kichaa kwa kufanya mambo yake ya ukichaa,namlaumu mteuaji!
Kwani chadema mnafika milion 60?
 
Hujui kwamba unaweza kushtakiwa kwa kumchapa mwanao? Hujui kwamba mambo kama haya yanaweza kuishia kama yale ya Dr. Kleruu na Mzee Mwamwindi wa Iringa kwasababu kuna wanaume hawatakubali kudhalilishwa kiboya hivi? Hebu fikiria ingekuwa wewe; je ungekubali kuadhibiwa kwa viiboko hadharani?
Mfano mzuri ni clip inayozunguka ya mwanafunzi (tena wa kike)akizichapa na mkurugenzi huko kanda ya ziwa
 
Mtoto mpuuzi huyu, ahya ndio madhara ya vyuo vya kata. Itungwe sheria nafasi ya udc au urc iwe na qualification za kitaaluma kwa watu waliosoma masomo ya utawala au sheria. Ila sio unachukua mtoto kama huyu aliyesoma Baed eti aongoze jiji kama la Arusha.
 
DC na Mwajiri wake ni pure evil, watoto wa Shetani na mtalipa siku mwisho, mwenye uwezo wa kuhukumu na Mahakama pekee, mtu akifanya kosa Polisi wanaingilia wanamfikisha Mahakamani na Mahakama inahukumu kuligana na kosa, Maguful I am done with you, ...
 

Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.

Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.

Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.

Pamoja Tuijenge Tanzania
Acha ujinga,hiyo hukumu ya kuwatandika mboko imetolewa na mahakama gani?karne ya 21,hatuwezi kuishi Kama wazee wa Zama za mawe!lazima tufate utawala wa Sheria,
DC hawezi kuwa mlalamikaji,awe polisi,awe Hakimu,lazima kuwe na check and balance,
Kwenye ulimwengu uliostaarabika,unakuwa na hatia tu pale mahakama inaposema.
Huyu DC,ni mjinga,hana akili,ni matumizi mabaya ya madaraka,hata mtu akihukumiwa kunyongwa,au kuchapwa viboko,adhabu haitekelezwi hadharani,ebu tuambie yale majizi ya epa,escrow,Richmond,yalichspwa mboko wapi?!
 
DC na Mwajiri wake ni pure evil, watoto wa Shetani na mtalipa siku mwisho, mwenye uwezo wa kuhukumu na Mahakama pekee, mtu akifanya kosa Polisi wanaingilia wanamfikisha Mahakamani na Mahakama inahukumu kuligana na kosa, Maguful I am done with you, ...
What happen to you? Huyu si wewe anayejulikana humu.
 
Siku wananchi tukiruhusiwa kuwachapa bakora viongozi wanaochezea raslimali zetu ndipo tutakapokuwa na maendeleo. Haiwezi kani mbunge anaishi dar urudi kijijini kuomba kura pekee kumuona ni Hadi uchaguzi ukaribie
 
Kwa uhalisia umesoma shule gani inayofuata huo utaratibu, nakazia mwanafunzi anastahili viboko anapokosea au kuhisiwa Kama katenda kosa
Sikuwahi kuchapwa fimbo shule ya msingi nakumbuka kuna kipindi tulikwenda picnic bila ruhusa tukagundulika tukaambiwa tulete wazazi tukaonywa mbele ya wazazi

Sekondari yote nimesoma seminari kulikuwa hakuna fimbo ukikosea sanasana tulikuwa tunapewa adhabu ya kwenda kulima Kama makosa makubwa walikuwa wanakufukuza shule

Kwa taarifa yako kwa sasa shule nyingi zinafuata utaratibu huo wa kisheria kutoa adhabu ya viboko baada ya kuona baadhi ya walimu wanapandishwa mahakamani kwa kuwachapa watoto kinyume cha utaratibu sio kwamba viboko hakuna kabisa aidha UNICEF wanapinga Sana adhabu hiyo kwa mtoto pia nchi nyingi zilizoendelea hawana adhabu hizo na watoto wa huko wapo vizuri na wanakuwa watu wazima wanaojielewa na kujitambua bila kupitia adhabu za viboko ni sisi tu nchi maskini baadhi ndio wanaendekeza huu upuudhi

Wazazi wangu Mungu aendelee kuwaweka mahala pema peponi walikuwa wanajua Nini maana ya malezi bora bila fimbo ilikuwa ukikosea huletewi zawadi au siku nyingine ukikosea inatengenezwa outing wewe uendi unaambiwa unalinda nyumba

Maleze ya fimbo mi binafsi siyapendi na huwa nachukia Sana naposikia majirani wanawachapa watoto wao

Mimi binafsi sijawahi na sitegemei kuja kumchapa mwanangu au mtoto mwingine yeyote

Wazazi wengi wa sasa ambao ni vijana na ambao wameelimika hawana kawaida ya kuadhibu kwa viboko watoto wao

Nakushauri badili mtazamo ndugu na jitahidi kufata Sheria lisije likakukuta la kukukuta ukabaki unajiuliza kiuhalisia utaratibu huu ni wa wapi
Hiyo ni Sheria ipo wanaosema tii Sheria bila shuruti sio wajinga
Huyo dc kakosea sana hana mamlaka ya kuchapa watoto hata watu wazima
 

Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.

Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.

Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.

Pamoja Tuijenge Tanzania
Jana niliandika na leo naandika ,waksome kisa cha Kleruu na Mwamwindi.Wataacha watoto wao bado wadogo.
 
Hiyo monitor ofisini kwa DC nimeipenda, tupo karne gani sisi
 
Kwa uhalisia umesoma shule gani inayofuata huo utaratibu, nakazia mwanafunzi anastahili viboko anapokosea au kuhisiwa Kama katenda kosa
Umeelimishwa, afu unabishana na facts?! Unaishi zama za kale za mawe, unachotakiwa kujua the world has moved from where you are!! Na hii chapa chapa, yenu, ipo siku mtaenda kulipa, hata uzeeni! Au unafikiri chama tawala na rais wenu, mtatawala milele?!
 
Huyo DC ni zao la shule za kata Hajuhi maana ya uzalendo
 

Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.

Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.

Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.

Pamoja Tuijenge Tanzania
Naunga mkono hoja
 
DC na Mwajiri wake ni pure evil, watoto wa Shetani na mtalipa siku mwisho, mwenye uwezo wa kuhukumu na Mahakama pekee, mtu akifanya kosa Polisi wanaingilia wanamfikisha Mahakamani na Mahakama inahukumu kuligana na kosa, Maguful I am done with you, ...
Ebwana eh ina maana unapinga kitendo cha dc kuwachapa wale watoto na mijitu mizima bakora

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom