DC Arusha, Kenani Kihongosi: Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri

DC Arusha, Kenani Kihongosi: Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri

DC na Mwajiri wake ni pure evil, watoto wa Shetani na mtalipa siku mwisho, mwenye uwezo wa kuhukumu na Mahakama pekee, mtu akifanya kosa Polisi wanaingilia wanamfikisha Mahakamani na Mahakama inahukumu kuligana na kosa, Maguful I am done with you, ...
Wahuni wame hack acc yako nini?

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Nilisikiliza utetezi wa DC huyu juu ya kitendo alichofanya nikasikitika sana.

Mwanzo mwisho DC anang'ang'ania uzalendo uzalendo uzalendo!

DC hajui kuwa anachotuhumiwa ni kujichukulia sheria mkononi na kupuuza utawala wa sheria.

Mob justice inayotumika kwa wezi, vibaka, majambazi inatokana na tabia ya kupuuza haki ndogo ndogo za raia.

Hakuna anayeunga mkono tabia mbaya za kuharibu mali za umma wala za mtu binafsi, bali kinachosisitizwa ni utawala wa sheria.
 
DC na Mwajiri wake ni pure evil, watoto wa Shetani na mtalipa siku mwisho, mwenye uwezo wa kuhukumu na Mahakama pekee, mtu akifanya kosa Polisi wanaingilia wanamfikisha Mahakamani na Mahakama inahukumu kuligana na kosa, Maguful I am done with you, ...
Mzee baba mbona kimya
Dc huyo mchapakazi sanaaaaa
Awamu hii inataka watu kama hao

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 

Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.

Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.

Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.

Pamoja Tuijenge Tanzania
Hivi adhabu ya kuhujumu uchumi huwa ni viboko vya makalioni?Vinatakiwa vingapi?Ukoloni sasa ni rasmi!
 
Ujinga kabisa. Jitu linavunja sheria halafu unalisifia kuwa ni uzalendo? Uzalendo unapatikana kwa viboko? Huyo DC ni mwehu tu hakuna sheria inayo mruhusu kufanya hivyo. Mahakama itafanya kazi gani?

Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.

Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.

Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.

Pamoja Tuijenge Tanzania
 
Huyu dogo anavimba kichwa anajibaribia anafikili rais ni Jpm tu
 
Wakati mwingine yanakuja maswali bila majibu.
Je katika kadhia ila ingetokea kijana mmoja akampiga na kumuumiza kiongozi aliyekuwa akitoa adhabu kwa kujihami asipigwe fimbo. Sheria ingempa nani haki?
Je kuna uhalali wa kumhukumu mtu kabla ya mamlaka husika kupatikana na hatia?
Kwa adhabu ile ya viboko wahusuka wakipatikana na hatia watatumiakia tena adhabu ? Au adhabu ya mwanzo ya fimbo inatosha?
Je ikitokea wakafikishwa mahakamani na ikatokea wakakosekana na hatia je adhabu ile ya fimbo itakuwa reversed vipi?
Hayo ndiyo baadhi ya maswali niliyonayo.
 
Akili za kindezi kabisa
Azizi angalia mambo kwa upana. Wale waliochapwa si watoto, halafu wale wanatakiwa kushtakiwa kwa kuhujumu mali za serikali yetu. Kinyume na hapo tuachane na utaratibu tuliojiwekea tuamie kwenye viboko na adhabu za papo kwa hapo kwa utashi wa kiongozi.


Hivi adhabu ya kuhujumu uchumi huwa ni viboko vya makalioni?Vinatakiwa vingapi?Ukoloni sasa ni rasm
 

Attachments

  • VID-20201218-WA0033.mp4
    18.5 MB
Umeelimishwa, afu unabishana na facts?! Unaishi zama za kale za mawe, unachotakiwa kujua the world has moved from where you are!! Na hii chapa chapa, yenu, ipo siku mtaenda kulipa, hata uzeeni! Au unafikiri chama tawala na rais wenu, mtatawala milele?!
Mkuu tatizo lako unajibu ukiwa na mihemko ya kisiasa, si kila mtu anaweka mawazo yake hapa kwa kulenga siasa angalia uhalisia wa maisha. Nimekuwa mwanafunzi muda mrefu najua ujinga wa wanafunzi ndiyo maana nasema bila woga achapwe kiboko anapokosea haijalishi anaadhibiwa na nani..
 
Raia hafanywi mzalendo kwa kuchapwa viboko.
 

Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.

Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.

Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.

Pamoja Tuijenge Tanzania
Huwezi kumfundiaha mtu uzalendo Uzalendo ni moyo
 
Mkuu tatizo lako unajibu ukiwa na mihemko ya kisiasa, si kila mtu anaweka mawazo yake hapa kwa kulenga siasa angalia uhalisia wa maisha. Nimekuwa mwanafunzi muda mrefu najua ujinga wa wanafunzi ndiyo maana nasema bila woga achapwe kiboko anapokosea haijalishi anaadhibiwa na nani..
Wewe ndo Una mihemko, ya kimila mkuu! Jamaa ameelezea fact man amequote vifungu vya sheria, sasa Wewe unatumia reference ya utukutu wako ku analyze mambo! Labda Unaweza usikumbuke, Lakini miaka kadhaa iliyo pita kuna mwalimu alimchapa mtoto, mtoto akafa! Kilicho semwa na jamaa ni; fimbo kwa wanafunzi ni kwa utaratibu maalumu, kama alivyo ainisha!
 
Tuache mahakama zifanye kazi zake tunainbilia kazi za mahakama.Haki inapatika mahakamani na si kwa kiongozi
 

Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.

Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.

Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.

Pamoja Tuijenge Tanzania
Mshamba tu huyu dogo
 

Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.

Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.

Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.

Pamoja Tuijenge Tanzania
Uzuri wa mwenye tatizo la afya ya akili hakawii kurusha mawe hata kwa wale wanaomshangilia. Madhara ya kutoheshimu utu na kuona ni jambo la kawaida na ustaarabu katika kudhalilishana miongoni mwa watumishi wa umma. Zamani watu waliamini katika utumishi wa umma sasa ni kinyume chake. Waliomo wanatamani kutoka na walio nje hawatamani kuingia... matokeo yake wasio na pa kwenda ndio wanatamani kuwamo ili wagange njaa. Je huyo mtukufu DC akifanya madudu au hao waliochapwa wakiteuliwa kuwa juu yake itakuwaje?
Ni suala la zamu tu...
 
Back
Top Bottom