Wahuni wame hack acc yako nini?DC na Mwajiri wake ni pure evil, watoto wa Shetani na mtalipa siku mwisho, mwenye uwezo wa kuhukumu na Mahakama pekee, mtu akifanya kosa Polisi wanaingilia wanamfikisha Mahakamani na Mahakama inahukumu kuligana na kosa, Maguful I am done with you, ...
Mzee baba mbona kimyaDC na Mwajiri wake ni pure evil, watoto wa Shetani na mtalipa siku mwisho, mwenye uwezo wa kuhukumu na Mahakama pekee, mtu akifanya kosa Polisi wanaingilia wanamfikisha Mahakamani na Mahakama inahukumu kuligana na kosa, Maguful I am done with you, ...
Hivi adhabu ya kuhujumu uchumi huwa ni viboko vya makalioni?Vinatakiwa vingapi?Ukoloni sasa ni rasmi!
Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.
Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.
Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.
Pamoja Tuijenge Tanzania
Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.
Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.
Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.
Pamoja Tuijenge Tanzania
NDIO
Azizi angalia mambo kwa upana. Wale waliochapwa si watoto, halafu wale wanatakiwa kushtakiwa kwa kuhujumu mali za serikali yetu. Kinyume na hapo tuachane na utaratibu tuliojiwekea tuamie kwenye viboko na adhabu za papo kwa hapo kwa utashi wa kiongozi.
NDIO
Hivi adhabu ya kuhujumu uchumi huwa ni viboko vya makalioni?Vinatakiwa vingapi?Ukoloni sasa ni rasm
Jibu lako limetosha kutambulisha personality yako.Akili za kindezi kabisa
Mkuu tatizo lako unajibu ukiwa na mihemko ya kisiasa, si kila mtu anaweka mawazo yake hapa kwa kulenga siasa angalia uhalisia wa maisha. Nimekuwa mwanafunzi muda mrefu najua ujinga wa wanafunzi ndiyo maana nasema bila woga achapwe kiboko anapokosea haijalishi anaadhibiwa na nani..Umeelimishwa, afu unabishana na facts?! Unaishi zama za kale za mawe, unachotakiwa kujua the world has moved from where you are!! Na hii chapa chapa, yenu, ipo siku mtaenda kulipa, hata uzeeni! Au unafikiri chama tawala na rais wenu, mtatawala milele?!
Huwezi kumfundiaha mtu uzalendo Uzalendo ni moyo
Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.
Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.
Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.
Pamoja Tuijenge Tanzania
Kuna mtoto wa mtu hapo? DC nae akitumbuliwa anakuwa mtoto? Shenzi weeUnapo mchapa mtoto kwa kukosea jambo fulani huwa unaenda mahakani kuthibitisha?
Wewe ndo Una mihemko, ya kimila mkuu! Jamaa ameelezea fact man amequote vifungu vya sheria, sasa Wewe unatumia reference ya utukutu wako ku analyze mambo! Labda Unaweza usikumbuke, Lakini miaka kadhaa iliyo pita kuna mwalimu alimchapa mtoto, mtoto akafa! Kilicho semwa na jamaa ni; fimbo kwa wanafunzi ni kwa utaratibu maalumu, kama alivyo ainisha!Mkuu tatizo lako unajibu ukiwa na mihemko ya kisiasa, si kila mtu anaweka mawazo yake hapa kwa kulenga siasa angalia uhalisia wa maisha. Nimekuwa mwanafunzi muda mrefu najua ujinga wa wanafunzi ndiyo maana nasema bila woga achapwe kiboko anapokosea haijalishi anaadhibiwa na nani..
Mshamba tu huyu dogo
Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.
Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.
Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.
Pamoja Tuijenge Tanzania
Uzuri wa mwenye tatizo la afya ya akili hakawii kurusha mawe hata kwa wale wanaomshangilia. Madhara ya kutoheshimu utu na kuona ni jambo la kawaida na ustaarabu katika kudhalilishana miongoni mwa watumishi wa umma. Zamani watu waliamini katika utumishi wa umma sasa ni kinyume chake. Waliomo wanatamani kutoka na walio nje hawatamani kuingia... matokeo yake wasio na pa kwenda ndio wanatamani kuwamo ili wagange njaa. Je huyo mtukufu DC akifanya madudu au hao waliochapwa wakiteuliwa kuwa juu yake itakuwaje?
Alisikika Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Ndg. Kenani Kihongosi akisema, "Tutafundishana uzalendo mpaka tutaelewana vizuri" huku akiwatandika viboko wahujumu wa mali za serikali.
Mimi naungana nae na nadiriki kusema tunahitaji viongozi kama hawa wazalendo na wakali kwa watu wote ambao ni wahujumu wa mali za serikali, kwa hakika taifa letu litasonga mbele.
Endelea kuchapa kazi Kiongozi, watanzania tunaojitambua tupo pamoja nawe na tunaendelea kukuombea afya tele kwa Mungu wetu wa Mbinguni.
Pamoja Tuijenge Tanzania