Elections 2010 DC Igunga ni mkristo mkatoliki; Kwanini hajasema kitu?

Elections 2010 DC Igunga ni mkristo mkatoliki; Kwanini hajasema kitu?

Kumbe ni mwanajumuia mwenzetu hahahahahahahha jamani Bongo haiishi kushangaza tehe
 
Si kila mwenye koti jeupe ni daktari, wengine wauza nyama buchani.


duuu!!! wengine wanaovaa nguo nyeupe ni akina mama ntilie, wapishi wa majumbani.........halafu huyu Mama Fatuma Kimario hakuvaa hijab bali alivaa kitu wanaita Mtandio.....sasa kama kila avaaye matandio ni Muislam hiyo ni hatari......pia hata huko mahakamani watashindwa kuelezea ni namna gani huo udhalilishaji ulivyofanyika.....coz inaonekana hapakuwa na nia mbaya ya kutaka kumdhalilisha huyo Mkuu wa Wilaya.
 
mambo ya kushabikia pasipo uchunguzi wa kina.as i said before kwani kila mvaa mtandio wa guanghzhou ni muislam? Waislam wa jf hebu jipambanueni na hizi ghiliba za magamba yaliyochoka na pia upeni uislam staha inayotakiwa.nitashangaa sana kama yule mama hatakanusha hili.ama paroko wa mbezi kuendelea kumpa ekarist mkristo mwenye mapingamizi
 
Mwanzoni tuliambiwa anaitwa "Fatma" na baadaye ikawa lile lililozoeleka la "Fatuma". Sasa haya yote ni majina yale yale ila kwa Wakatoliki ipo Fatima au hiyo Fatma - Bikiria Maria wa Fatma (kwa wale wanaojua). Lakini vyovyote lile ni yale yale ya kufikiria mtu akiitwa Daudi basi ni Muislamu na akiitwa David basi ni Mkristu au ukimsikia mtu anaitwa Yusuph basi unasema ni Muislamu na akiitwa Joseph basi ni Mkristu!.

Kama hili ni kweli hoja ya Bakwata na wengine itabiidi ihamishiwe na kuwa hoja ya "kumdhalilisha mwanamke" sasa sijui wataelezeaje ile ya kwanza. Jambo rahisi ni huyo mama kujitolea tu kutoa ufafanuzi maana kwa ukimya wake anaweza kusababisha matatizo sana ambayo wala yasingefika hapa. Na kama kweli ni Mkristu naamini kwa kukaa kwake kimya kuchochea udini Igunga kunamfanya akose hekima ya kuwa Kiongozi. Yuko tayari kukaa kimya na watu wakaumizana wakati kwa neno lake moja tu angeupusha mengi. Kama ni kweli siyo Muislamu huyu mama itabidi aondolewe UDC kwa kukosa hekima ya kuwa kiongozi.
 
Hili movie la ukweli...me ngoja nisubiri huenda kuna kitakachofuata,kama kuna ukweli na ikathbtka kuwa mama fa2ma kimario c m2 wa kuvaa hijabu(muslim),hawa bakwata hawa,shame on u.,
 
Wajameni tuwe waangalifu kwenye jambo hili. Mwislamu kuolewa na mkristo hakummfanyi mwislamu kuwa automatically mkristo kwani hata huko kanisani zipo ndoa za mchanganyiko wa dini au madhehebu. Ili tuweze kuwa na uhakika kama kweli ni mkristo tulete vithibitisho kwamba alibatizwa (mahali, na mbatizaji wake) na jina lake la ubatizo. Kwa kifupi tutafute cheti chake cha ubatizo au watu wanaomjua fika kwamba ni mkristo na jina lake linafahamika. siyo hizi ngonjera za kusema kaolewa na mkatoliki kwa hiyo naye ni mkatoliki.
ALIEMUOA NDO KASEMA AMEBATIZWA PAROKIA YA MBEZI BEACH, SISI HATUWEZI KUKUPATIA HIVYO VIDHIBITISHO. KWA USHAURI, HEBU CHEKI NA PAROKIA TAJWA HAPO JUU MKUU.
 
Lakini hakuna mahali aliposema kuwa yeye ni muisilamu, alicholalamika ni kuachwa uchi! Sasa hiyo ya kuwa muisilamu mnaitoa wapi?
 
Nilitegemea haya maana sana aibu kwa ccm! Maana hawashauriki wala kuonyeka!
 
duh kama ni kweli hii kali babu! hapa naona BAKWATA watakuwa wameingia choo cha kike au wamelishwa mabua...teh teh teh masikini weee wanazidi kuiharibia CCM
 
Walifikiri wanaharakati walikuwa wajinga kukaa kimya?
 
Hawa Bakwata watatumika kweli kama vile zitumikavyo taulo za kike. Wakikuhitaji watatoa hadi hela kukununua, wakimaliza shimoni tena haifai hata kuonekana hadharani.
 
Mzee mwanakijiji, BAKWATA wakianza na hoja ya kumdhalilisha mwanamke, inabidi wamtendee haki Mbunge wa CUF Magdalena Sakaya na mchumba wa Dr Slaa

Mambo ya Igunga makali kuliko ya nchi nzima! Mungu atusaidie ili 'the best person ashinde'
 
Kwani masista wa kikatoliki hawavai hijabu? Tena wengine ndiyo wale cloistered sisters wamewazidi hata maninja wa kiislamu. Sasa jee ukimvua hadharani kilemba chake sister wa kikatoliki itakuwa sawa?

Mimi kwa maoni yangu yule mama awe muislamu au mkristo lakini vile alivyofanyiwa siyo sawa, kuburuzwa kama jambazi fulani hivi. Na hata kama ni mkristo lakini ameamua kuvaa kiaina ile kwa nini avuliwe vilemba vyake?

Na hiyo anayozungumzia 'fatma' ni ya kiarabu kwa kiswahili ndiyo tunaita fatuma.
 
Kwani masista wa kikatoliki hawavai hijabu? Tena wengine ndiyo wale cloistered sisters wamewazidi hata maninja wa kiislamu. Sasa jee ukimvua hadharani kilemba chake sister wa kikatoliki itakuwa sawa?

Mimi kwa maoni yangu yule mama awe muislamu au mkristo lakini vile alivyofanyiwa siyo sawa, kuburuzwa kama jambazi fulani hivi. Na hata kama ni mkristo lakini ameamua kuvaa kiaina ile kwa nini avuliwe vilemba vyake?

Na hiyo anayozungumzia 'fatma' ni ya kiarabu kwa kiswahili ndiyo tunaita fatuma.
Hata kama tukikukubalia kitendo cha CHADEMA si sawa, sasa tamko la Masheikh kuhimiza Waislam wasiipigie CHADEMA kura linakujaje? Mbona hawatoi tamko la kukataza Waislam wasiipigie kura CCM kwa kumpiga mpaka hali mahtuti kiongozi wa CUF huko Igunga? au Mbunge wa CUF kulazwa lupango chumba cha wanaume? Huoni double standards hapa?
 
babuyao dini gani inayofungisha doa huku wanandoa wakiwa dini tofauti...
 
Back
Top Bottom