Elections 2010 DC Igunga ni mkristo mkatoliki; Kwanini hajasema kitu?

Elections 2010 DC Igunga ni mkristo mkatoliki; Kwanini hajasema kitu?

Kama hii habari ni ya kweli wacha nijizuie kutukana nisije kula ban bure hapa.
 
Kama ni kweli wale masheik walioshindwa kutambua tofauti kati ya hijab na ushungi wataswali msikiti gani? Watakuwa na uhalali gani wa kutoa mafundisho ya dini ya kiislam? tusubiri muda mengi yanaweza kufumuka na nahofia aibu ya karne!
 
bintimkongwe, mama mfunga nguruwe kule tegeta aka dc wa igunga alicho kuwa anakifanya ni zaidi ya ujambazi..mbona vibaka wanachomwa moto itakuwa huyu anae hatalisha utulivu wa tanganyika...nakama ni kukemea kitendo alichofanyiwa mwana mama huyo je huyo ndiyo mama wakwanza kufanyiwa kitendo hicho je huku muona josephine mke wa dr slaa alichofanyiwa arusha, vipi kuhusu mbunge wa cuf huko huko tabora..acheni unafiki
 
Wajameni tuwe waangalifu kwenye jambo hili. Mwislamu kuolewa na mkristo hakummfanyi mwislamu kuwa automatically mkristo kwani hata huko kanisani zipo ndoa za mchanganyiko wa dini au madhehebu. Ili tuweze kuwa na uhakika kama kweli ni mkristo tulete vithibitisho kwamba alibatizwa (mahali, na mbatizaji wake) na jina lake la ubatizo. Kwa kifupi tutafute cheti chake cha ubatizo au watu wanaomjua fika kwamba ni mkristo na jina lake linafahamika. siyo hizi ngonjera za kusema kaolewa na mkatoliki kwa hiyo naye ni mkatoliki.
Unataka cheti cha ubatizo kiwekwe hapa JF una maana gani? hapa hatuulizani vyeti nenda sekondari kama unataka hivyo we jua ya kwamba bi fety ni mkristo mkatoliki..........Na unataka mbatizaji wake wanini? Ondoa upupu wako.
 
Unajua, kwa mfano wakichukuliwa wakenya watatu; kiongozi wa dini, mwanasiasa na mchumi wakaulizwa mlima klm uko wapi wakajibu uko kenya, kiongozi wa dini ndie atakaeonekana juha?
 
Habari tulizo zipata kutoka kwa familia ya mzee joseph kimario(mume wa bi kimario) ambaye ni dc wa igunga mkoani tabora zimeeleza kwamba mkuu wa wilaya amebatizwa ktk kanisa katoriki mbezi beach. Na mume wake mr joseph kimario ni mwenyekiti wa uongozi wa parokia mbezi beach. Hivyo tunawaomba bakwata wasitumie vibaya vyombo vya habari kueneza udini tanzania. 4 more information vist PAROKIA YA BIKIRA MARIA MBEZI BEACH.
kwahiyo mkatoriki ndio apigwe na kuvuliwa nguo zake?Chedema kwa hili siwaungi mkono,wangeweza kumkata kistaarabu na ingewapa credit sana,sasa wao wameonesha sio chama cha ustaarabu na subra.
 
Bakwata bakwata!!!!!!!!! mbona mnauzalilisha Uislam? Kama issue ilikuwa Hijab kwa nini mlitoa tamko la kutoipigia kura Chadema? Ni aibu hamtufai.
 
kwahiyo mkatoriki ndio apigwe na kuvuliwa nguo zake?Chedema kwa hili siwaungi mkono,wangeweza kumkata kistaarabu na ingewapa credit sana,sasa wao wameonesha sio chama cha ustaarabu na subra.

Upuuzi wakoni waaina yake.Alichukua PF3 polisi akaenda hospitali?
 
Hiyo ndoa ya joseph na fatuma haina uhusiano na dini yake.....mama ni muislamu tena swala tano!hiyo haihitaji evidence ninamfahamu
 
MODS - hamisha thread hii kwenda Jukwaa la Siasa ili wengi zaidi walijadili ili upatikane ukweli wake. Mimi badi siamini.
 
07.jpg
01.jpg
001.jpg


Hivi mvao hijabu wa kiislamu kuvaa unaovaliwa na waislamu ni upi kati ya hao wasichana na DC wa Igunga?
 
tulitegemea. kimario 98% ni wa kristo. Amevaa ijabu kama the way to mitigate risk.na imewek!huoni mashekhe walivokurupuka km wamekosa oxygen katika pango.
Hahahahaah! Hakyanani mkuu umenifanya nionekane chizi,yaani nacheka peke yangu!
 
Mpaka tujenge uwezo wa kujitawala na kuwaongoza wengine, haya ndo matokeo yake. Kuna mambo hayahitaji kukurupuka
 
Kwa hali kama hii ndo maana nkasema BAKWATA wameingizwa choo cha kike bila kujitambua!
 
Back
Top Bottom