DC Jerry Muro amfokea DED kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 kwenye msafara

DC Jerry Muro amfokea DED kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 kwenye msafara

Wewe mzazi upo hapo umesimama. Halafu matoto yasiyo na adabu yakaanza kufokeana mbele yako. Ni kweli utakaa kimya tu? Mkuu wa mkoa ambaye naye hujifanya mkali sana hapa naona yuko kimya tu. Au Jerry naye ni mtoto wa dadiii ndo maana Gambo ameogopa kuingilia kati?

Halafu anayefokewa ni PhD holder tena bingwa kabisa wa hisabati. Alipaswa kuwa ananoa vijana wetu Mlimani huyu hasa ukizingatia kuwa tuna wataalamu wachache sana wa somo hili muhimu. Leo yuko hapa anafokewa na failure. Tumbo mwanaharamu sana aisee. Na kwa mtindo huu wasomi wa Tanzania mkiendelea kudharauliwa msilalamike. Sad [emoji36][emoji36][emoji36]
Well said mkuu
 
Sio sahihi kumuita Presidential appointee mwenzako mpuuzi mbele ya uma.

Hii ni mara ya pili naona Mh. DC anateleza,

Hapa nimeomba akumbushwe tu kubehave, sijaomba atumbuliwe, kuna tofauti kubwa sana katika hayo mawili.

Na akisema kamchagua maana ni kichaa kichaa kama yeye utasemaje tena? Au akisema "Muro chapa kazi" hutakuja hapa na kumpongeza?
 
Nimekasirika sana, najiuliza ningekuwa mimi ningevumilia kweli? [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
CR ndio nini mkuu..?wengine tuko nyuma kidogo ya hayo madarasa mliosoma...
 

Muro anatakiwa aonene na mtaalamu wa saikolojia,ana matatizo,pengine hajui! Ila nyie muangalieni usoni mtagundua hali yake sio nzuri.

Watu wote kwenye hiyo video hawafurahishwi na kufoka na kuropoka kwake.

Hata RC anaonekana kukerwa na DC. Sidhani kama ni sahihi kiutumishi kumfokea mtendaji mbele ya mkuu wako.

Hawa watu waliopewa vyeo kwa kuropoka hawa hawafai kabisa!
 
Yaani anamnyoshea kidole kama mfungwa vile. Huyu DED ni PhD holder, alikuwa lecturer wa UDSM. Sasa huyu mbweha sijui ujasiri anaupata wapi wakati hata hela ya mafuta na matairi ya gari anakwenda kupiga goti kwa DED. Magufuli anapaswa kuwatimua hawa walevi wa madaraka
 
Na RC anamwakilisha nani akiwa kwenye ziara ya pamoja na DC...???
Acheni kutetea upuuzi bhana...!!
RC anamwakilisha Rais ktk mkoa. DC yuko sahihi kabisa watumishi wengi wanafanya mambo kwa mazoea hawazingatii muda
 
Na akisema kamchagua maana ni kichaa kichaa kama yeye utasemaje tena? Au akisema "Muro chapa kazi" hutakuja hapa na kumpongeza?
Hayo mengine ni mitazamo yako ambayo sio final, na ukizingatia kwamba pia unayo haki ya kutoa maoni.

Swala hapa ni kumsaidia Ndugu yetu ili amsaidie Rais kuleta maendeleo kwa wananchi jambo ambalo ndilo la msingi zaidi.
 
Yaani anamnyoshea kidole kama mfungwa vile. Huyu DED ni PhD holder, alikuwa lecturer wa USDM. Sasa huyu mbweha sijui ujasiri anaupata wapi wakati hata hela ya mafuta na matairi ya gari anakwenda kupiga goti kwa DED. Magufuli anapaswa kuwatimua hawa walevi wa madaraka

Consultant,
Magufuli atawatimuaje hao walevi wenzake wa madaraka?? Birds of the same feather flock together....ndege wa unyoya unaofanana huruka pamoja...Tabia za Magufuli na hao wa teule wake zafanana...hivo uitegemee JPM abadilishe kitu hapo!!
 
Yaani anamnyoshea kidole kama mfungwa vile. Huyu DED ni PhD holder, alikuwa lecturer wa UDSM. Sasa huyu mbweha sijui ujasiri anaupata wapi wakati hata hela ya mafuta na matairi ya gari anakwenda kupiga goti kwa DED. Magufuli anapaswa kuwatimua hawa walevi wa madaraka
Mkuu alishasema hapangiwi, hawa ndo aina ya viongozi anaowapenda.!
 
Huu ni upuuzi kabisa siwezi kutoacha hata kuchangia kidogo humu
 
Hayo mengine ni mitazamo yako ambayo sio final, na ukizingatia kwamba pia unayo haki ya kutoa maoni.

Swala hapa ni kumsaidia Ndugu yetu ili amsaidie Rais kuleta maendeleo kwa wananchi jambo ambalo ndilo la msingi zaidi.

Tatizo umeshikiliwa akili na mkulu hata akosee huwa husemi ndo maana nimekuuliza ili kuweka kumbukumbu sawa maana muda si mrefu atabugi
 
DC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile



Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'

Hawa viongozi wasiojiamini ni taabu tupu, anaona kila mtu anajua ana uwezo mdogo kazi yao ni kujihami. Muro hana hata hadhi ya utendaji wa kijiji labda kuwa mc
 
RC anamwakilisha Rais ktk mkoa. DC yuko sahihi kabisa watumishi wengi wanafanya mambo kwa mazoea hawazingatii muda

Hujajibwa swali...!
Kuna watu ubongo wenu unahitaji kupigwa hendeli. Labda niseme hivi: Kama RC na DC wako kwenye msafara mmoja kutembelea wilaya yoyote na RC ndiye anamwakilisha Rais kimkoa nani anakuwa juu ya mwenzake(based on seniority)?
 
RC anamwakilisha Rais ktk mkoa. DC yuko sahihi kabisa watumishi wengi wanafanya mambo kwa mazoea hawazingatii muda
Baba yako au mama yako angekuwa DED halafu anafokewa unaona kama hivi ungejiskiaje? Acha upuuzi wa kuandika ujinga ujinga
 
Back
Top Bottom