DC Jerry Muro amfokea DED kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 kwenye msafara

DC Jerry Muro amfokea DED kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 kwenye msafara

Ndiyo inavyokuwa... Huyo jeri ashukuru tu yalaiti mie ndiyo ningekuwa huyo DED afu ndiyo anategemea kwenye mafungu yangu nimwezeshe hakuna rangi ambayo angeacha kuona
Na hilo ndio linalofuata, Jerry hajawai kuwa kiongozi, anafikiri ndan ya wilaya ye peke yake ndio mtendaji, hawa watu watakachomfanya, atarudi kwao kwa magoti
 
Hakika nimeshtushwa na Video inayomwonyesha Mkuu wa Wilaya Jerry Muro akimtukana Mkurugenzi wake kwa kuchelewa kwa dakika 10.Nilitegemea Mkuu wa Wilaya angetumia japo busara ndogo kabisa ya kuendelea na ratiba yao baada ya kumaliza tena wakiwa ofisini kwa Mkuu wa Wilaya ndipo angemuuliza Mkurugenzi wake kwanini alichelewa.Kitendo cha kumtukana Mteule mwenzako mbele ya anaowaongoza sio cha busara.Viongozi tuwe mfano wa kauli nzuri lwa wasaidizi wetu tusitumie ubabe.Kidumu chama cha mapinduzi.
 
Utawala wa hovyo kupata kutokeamagufuli kashupaza shingo lakini ndani anaungulia maana vichaa aliwawachagua wanazushamapya kila siku tunaongelea mabaya tu vituko vyake na chain ya vichaa wake aani utawala wake hauna siha ukiwa kichaa kweli unafanya mambo kwaukichaa
 
Huyu angeachia tuu nafasi yake pamoja usomi wake ameenda kudhalilisha mbele ya kamera ni huyo mjinga
Ila na huyo mwenye PHd analo la kujifunza toka hapo, mtu umesoma na una malengo yako uwe msomi ulobobea uwe profesa, from no where unateuliwa tu kijingajinga na wewe unakubali,tena anaekuteua anajinasibu ni kichaa na wengi mnajua bado mnakubali kuteuliwa.Basi mkubali na kutukanwa na mabashite yake.Uprofesa sahauni.
Kwa taarifa ni kuwa waraka umepelekwa kwenye vyuo vyote vya umma kuwa mwanataaluma yoyote aliyeteuliwa na jiwe,akishindwa huko alikopelekwa basi asipokelewe pindi atakapoomba kurudi baada ya kutumbuliwa alikoteuliwa.
Kazi mnayo
 
'Halafu unacheka unanidharau' 🤣🤣tufanye kazi hakuna namna
 
Hawa ndio VICHAA wa Magufuli wenye tabia kama za kwake...Like son like daddy.....!!

Ukimwuliza Magufuli katumia kigezo/sifa gani kumteua kichaa kama huyu atakwambia alikuwa analala saa 8 usiku ati anatafuta majina ya kuteua....Huu ni ukichaa.....maana kama unalala usiku wa manane badala ya kupumzika kisa unateua DC lazima uteua vichaa kama huyu....Very shameful...!

Kwa akili ya kawaida kwenye Msafara wowote kwa kuzingatia ITIFAKI kunakuwa na Mkuu wa msafara...Kiongozi ambaye ni Mkuu kuliko wote...SENIORITY... in that respect katika msafara huu RC Gambo ndio alitakiwa azungumze na siyo Murro ambaye ni DC...!!
 
Hakika nimeshtushwa na Video inayomwonyesha Mkuu wa Wilaya Jerry Muro akimtukana Mkurugenzi wake kwa kuchelewa kwa dakika 10.Nilitegemea Mkuu wa Wilaya angetumia japo busara ndogo kabisa ya kuendelea na ratiba yao baada ya kumaliza tena wakiwa ofisini kwa Mkuu wa Wilaya ndipo angemuuliza Mkurugenzi wake kwanini alichelewa.Kitendo cha kumtukana Mteule mwenzako mbele ya anaowaongoza sio cha busara.Viongozi tuwe mfano wa kauli nzuri lwa wasaidizi wetu tusitumie ubabe.Kidumu chama cha mapinduzi.

Ndiyo alivyo tumwa
 
Kinachowaumiza watanzania wengi ni umasikini,yaani mtu hujaniteua wewe alaf unikoromee na kunifoka tena mbele za watu,hapohapo nami nakupa za USO.wasomi wetu njaa kwa sana,acha wawe wanaaibishwa.
 
Kwa mtu anayejua umuhimu wa DC, anapata tabu sana akiona wanaoteuliwa kuwa DCs leo hii. Uharibifu ulianzia kwa utawala wa awamu ya awamu ya pili. Na dhambi walizozifanya watawala waliotangulia ndizo zinawafanya wakae kimiya katika lundo la uovu wa watawala wa sasa. Nani wa kumshauri rais? Mtu aliyewahi kuwa kiongozi mkuu wa nchi, aliyestahili kuheshimu katiba ya nchi, aliyestahili kuwaona watu wote ni sawa, anasimama kutetea chama chake na kuwaona wenye mawazo tofauti na chama chake ni wapumbavu, mazuzu, na hilo analionea fahari.
Sasa wajue kama katiba inachezewa kiasi hiki na marais wastaafu wapo na wanakaa kimya wakumbuke, ipo siku katiba itachezewa kwa kuwaondelea kinga walizonazo katika katiba hiyo wanayoichezea sasa. na wao watalipa kwa gharama kubwa sana.
 
Back
Top Bottom