DC Jerry Muro amfokea DED kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 kwenye msafara

DC Jerry Muro amfokea DED kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 kwenye msafara

Huyu DC hana maadili ya uongozi,huwezi kugombana hadharani na mtu mnayefanya naye kazi pamoja.Its a cheap popularity and abuse of power.
 
Eeeehhhh... Jamani Jerry anakoelekea sio kabisa.. Eeeeeh..!!😡😡😡😳😳😳😳 Mh Rais wangu tengua huyu mtu, plz plz plz...!!! Yaani nasema kweli kabisa ingekuwa ni mm ananinyooshea kidole hivyo napiga ngumi hadi atakimbia atasahau kila kitu hapo..hatarudia tena kabisa..!!
I dont have that look
 
DC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile



Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'

Jinyoosheni wenyewe....tu
 
Hii nchi imearibiwa sana..how on earth Jerry muro anakuwa dc??
 
Huyu mkurugenzi nae alishiriki kununua madiwani kipindi Mnyeti akiwa DC,sasa nae aonje ladha halisi ya mambo aliyoyatamani kutokea. Watu hawana hofu
 
Muda utaongea hata aliemshika shati kumuweka hapo alipo...nae alianza kwa style hizo hizo za kudhalilishana,,,,,,,,,sasa nadhani ameanza kuelewa kuwa kuna maisha baada ya vyeo kuteuliwa .......ambapo kesho tuu unaachwa!!
 
upuuzi wa hali ya juu huu, haya ndio yale madaraka ya kukosa hekima, busara na weledi. watu wanachukuliwa mtaani na kupewa vyeo kama hivi na haya ndio matokeo yake.
Ilishindikana nini kumuuliza kwanini alichelewa tena kwa taratibu badala ya njia kama hii? huenda kulikuwa na dharura kubwa kiofisi. Shame on him!
 
Huyo jerry mbona ni mpenda sifa toka akiwa mwandishi habari....yani anapenda kudominate hadhira....tuseme amina!!
 
Wewe mzazi upo hapo umesimama. Halafu matoto yasiyo na adabu yakaanza kufokeana mbele yako. Ni kweli utakaa kimya tu? Mkuu wa mkoa ambaye naye hujifanya mkali sana hapa naona yuko kimya tu. Au Jerry naye ni mtoto wa dadiii ndo maana Gambo ameogopa kuingilia kati?

Halafu anayefokewa ni PhD holder tena bingwa kabisa wa hisabati. Alipaswa kuwa ananoa vijana wetu Mlimani huyu hasa ukizingatia kuwa tuna wataalamu wachache sana wa somo hili muhimu. Leo yuko hapa anafokewa na failure. Tumbo mwanaharamu sana aisee. Na kwa mtindo huu wasomi wa Tanzania mkiendelea kudharauliwa msilalamike. Sad [emoji36][emoji36][emoji36]
Msomi kama huyu anakubali kudhalilishwa na 'msaka tonge'! aisee nami ningemjia juu tena kwa sana hadi aone cha moto! mie ni mteule wa raisi kama yeye! kama vipi nirudi zangu chuoni!
 
DC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile



Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'
DED NI PHD HOLDER na ni mkurugenzi wa Arusha DC
 
Huu upuuzi kabisa jiwe anateua wapuuzi kwenye nafasi ambazo hawana taaluma nazo
Lakini tukumbuke kuwa wanaiga toka kwa Jiwe kwa namna anavyoendesha nchi na yeye Jiwe mwenyewe anafurahia namna hao PhD holders wanavyodharirishwa mbele ya media!
 
DC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile



Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'

PhD holder ana mshahara mkubwa kuzidi wa DED, DC hata mkuu wa Mkoa. Ukiongeza na uwezekano wa consultancy na winning big project, ni nonsense kuwa DED then ukatukanwa na vijana wa CCM. Pamoja kuna umuhimu wa kuwa na DED msomi ili atumie tafiti kuleta maendeleo ila ni aibu kutukanwa mbele za watu.
 
Back
Top Bottom