Ankazominiotra
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 607
- 379
Hii ina-summarize kila kitu.Tanzania inasikitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ina-summarize kila kitu.Tanzania inasikitisha
KabisaaaHii ina-summarize kila kitu.
mchuchu hujambo!Kabisaaa
Sijambo.za ww?mchuchu hujambo!
Ilibidi aulize hili swali kwanza na sio kufokea tu kama kichaa. By the way hata magufuli si alisema yeye ni kichaa?Kwa nini achelewe?
Jerry Nimesoma naye Kisarawe Lutheran Junioe Seminary 2001-2003. Ni mwanafunzi pekee aliyekuwa akitukanana na walimu hadharani. Ni katika kipindi hicho Jerry alikuwa akifanya ushenzi yeye na demu wake Grace (Jina la pili nalihifadhi) kama mke na mume kinyume cha maadili ya Seminary. Jerry alikuwa ni mwanafunzi pekee aliyekuwa anatoroka usiku kutoka Seminary kuja kisarawe na hatimaye Dar kulewa mipombe na kurudi Shule alfajiri. Jerry alikuwa akisoma Seminary huku akifanya kazi redio moja hapa Dar akiendesha kipindi cha ngono kiliitwa Pillow talks. Jerry alishafukuzwa shule Loyola na alifanya NECTA akiwa kwenye suspension.
poa sana rafikiSijambo.za ww?
Inatia uchungu. Mtoto mdogo unamshambulia mtu mzima mbele ya dunia nzima inaona, Professa mzima. Nalo professa zima linababaika tu.Taratibu mkuu. Kwani ni lazima utukane?
Anaitwa nani huyo mkurugenzi?Wewe mzazi upo hapo umesimama. Halafu matoto yasiyo na adabu yakaanza kufokeana mbele yako. Ni kweli utakaa kimya tu? Mkuu wa mkoa ambaye naye hujifanya mkali sana hapa naona yuko kimya tu. Au Jerry naye ni mtoto wa dadiii ndo maana Gambo ameogopa kuingilia kati?
Halafu anayefokewa ni PhD holder tena bingwa kabisa wa hisabati. Alipaswa kuwa ananoa vijana wetu Mlimani huyu hasa ukizingatia kuwa tuna wataalamu wachache sana wa somo hili muhimu. Leo yuko hapa anafokewa na failure. Tumbo mwanaharamu sana aisee. Na kwa mtindo huu wasomi wa Tanzania mkiendelea kudharauliwa msilalamike. Sad [emoji36][emoji36][emoji36]
Katumia busara kunyamaza hakuna sababu ya kujibizana na mjinga.NINGEMKATA KIBAO,PAAAAAAAAAAAAAAAAAP!
MBELE YA HIZO HIZO KAMERA ANAZOTAKA KUCHUKULIA UJIKO!
Wewe umeongea kwa hekima.Kwani angemuitaa baada ya ziara hiyo na kumuonya kiofisi angekosea wapi? Au ndio promo za camera? Anajenga chuki kati yake na walio chini. Apunguze jazba, uongozi ni kucheza na saikoloji za watu tuuu
Mkuu umeongea vizuri sana ila hiyo para ya mwisho hapana.Hayo mafuta ambayo Dc anaomba kiuhalisia bado ni pesa ya serikali na wala Mkurugenzi hatoi mfukoni mwake kwahiyo sioni shida hapo.Mkuu wa Wilaya Jerry Muro anamtukana Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha DC, Dr.Wilson Mahela (PhD) mbele ya Mkuu wa mkoa na macamera ya waandishi wa habari yanawamulika. Uongozi wa kijinga sana huu. Kanuni za maadili ya uongozi haziruhusu kufanya huu utoto. Kama Mkurugenzi alichelewa kufika, kuna namna bora ya kumuwajibisha ambayo ingekua na tija kuliko huu ujinga uliofanya Jerry. Tatizo mnateuliwa teuliwa tu bila hata kupewa semina elekezi.
Mtu hajawahi kuwa hata CR darasani leo anakuwa DC ama RC what do u expect? Matokeo yake ndio haya ya kuja kutukanana hadharani na mnaona sifa kurekodiwa. Halafu wewe Jerry sio mamlaka ya nidhamu ya DED. Pengine huo uDC umekulevya. Mamlaka ya nidhamu ya DED ni RAS. Kwahiyo kama alichelewa ungeweza kuzungumza nae baadae na kumueleza masikitiko yako, na kama angekaidi ungemripoti kwa RAS. Sio kutukanana hadharani.
Unamtukana DED na kumuita mpuuzi na mpumbavu hadharani, halafu unategemea awasimamie watendaji wa Halmashauri. How that possible? Atawasimamiaje wakati wameona akiitwa mpuuzi na mpumbavu hadharani? Na wenyewe watampuuza tu kama ulivyompuuza wewe. Ni aibu viongozi kuzozana hadharani. Wahenga walisema wazazi wapumbavu pekee ndio wanaoweza kugombana mbele ya watoto. Kulikua na tatizo gani mngeendelea na hiyo ziara then badae mkae na kujadili?
Halafu kichekesho unamlaumu DED kwa kuchelewa dakika 10, lakini wewe umepoteza dakika nyingi zaidi kumtukana. Hivi lengo lako lilikua kuokoa muda kweli?
Huyu Dr.Wilson Mahela ni PhD holder. Amefundisha chuo kikuu UDSM muda mrefu wakati wewe ukifanya ukanjanja kwenye media. Amekuzidi umri, amekuzidi elimu, amekuzidi busara. Kama umeshindwa kumheshimu kwa nafasi yake basi ungemheshimu hata kwa umri wake tu.
Then huyo DED unayemdhalilisha ndo anayekuweka mjini. Tunajua maDC hamna budget. Mnalelewa na ofisi za DED kwa kila kitu. Hadi mafuta ya gari mnaomba kwao. Sasa how comes unamdhalilisha mtu anayekufanya usurvive? Kesho ukimuomba mafuta akikunyima utamfanya nini? Au ndo utaita tena macamera uanze kumtukana? Growup na uache sifa za kijinga. Uongozi ni kujifunza. Take time to learn from your elders kabla ya kukurupuka. Unajidhalilisha na kumdhalilisha aliyekuteua.!
hakika nikweliMkuu kichaa. Watoto vichaa. Mchongoma hauwezi kuzaa machungwa.
hahahaaa mwezi wa muandamo huu mkuu " ndio kipindi chao hikiAmesema Katika kuteuwa vigezo vyake awe ni kichaa kama yeye,
Huu ni msimu wa vichaa
Mkuu wasomi hawataki kubaki na kazi za kisomi wanataka ulaji, huyu Dr nae alikuwa na siasa toka zamani sana. Nakumbuka kuna mwaka alinifundisha alipiga sana siasaKilichonikera ni kuona PhD ya mathematics specifically financial mathematics anakemewa na dogo ambaye hata kula yake ilikuwa shida mpaka JPM alipomuona.
Taabu sana.