Hiyo Ni nchi jirani sisi hatuna utamaduni wa hovyo namna hiyo mtu anakuja kukuomba samahani unampiga?Wangeenda nchi jirani kuona traffic polisi wanatandika viboko kondakta wachafu..wasiofuata sheria wangesemaje!
Well, kuna kasoro kadhaa ambazo baadhi ya viongozi wetu wanazionyesha kwenye utendaji wao namna wanavyotumia mamlaka...ILA na wananchi tulianza kulewa uhuru na haki...zama zimebadilika ni kujiandaa kisaikolojia otherwise tutakua tunahamaki tuu kila jambo.
#Mlisema mie mpole, Mabadiliko kuleta mkali (JK,2015)
Kikubwa ni kumtenga tu, kamdhalilisha mkurugenzi wafanyakazi wote wanamkaushia akiingia kwenye ofisi, watu hawana time naye, akifika kwenye kijiwe sehemu watu wote wanaondoka, na akiongea hata la kuchekesha hakuna anayecheka wala kumjibu atatia akili, huyu jamaa hata sielewi kapate uDCHuyu dogo naona kaingia kichwa kichwa sana kwenye ofisi za walipa kodi
Yeye mwenyewe kavunja sheria kuzuia gari kwa mbele huoni kuwa angesababisha ajali?Tatizo mnataka kila kitu kulalama, kosa la jerry ni nini,lazima mtu upewe kitssa ili akili imkae mnajifanya mna huruma sana wakati upuzi wa madereva kutofuata sheria za barabarani ndiyo unasababisha ajali kila siku,
Kuna sheria za kufuatwa.. co unapiga watu kama ng'ombe. Ana bahati huyu angekuwa arusha mjin makondq wangetandika hilo gar maweKasiimame kwenye Zebra wakati Ninja Muro yupo nyuma yako
Ni Mwendo wa vitasa tu
Kosa la jerry ni kuchapa makof konda wkt kuna adhab za kisheria zipo wazi za kumuwajibisha konda na dereva wakeTatizo mnataka kila kitu kulalama, kosa la jerry ni nini,lazima mtu upewe kitssa ili akili imkae mnajifanya mna huruma sana wakati upuzi wa madereva kutofuata sheria za barabarani ndiyo unasababisha ajali kila siku,
Ingekuwa jerry ni afisa wa polis sawa. Maana wao ndio wamepewa mamlaka ya kutumia nguvu. Hakupewa yy kisheria.Hakutii sheria alitaka shuruti macho huna huoni hata masikio huna usikiii
Kisheria, unaweza kumshtaki DC kwa kosa la kujichukulika sheria mkononi .Kwani kuchapwa makofi kondakta ni tuhuma? Watapata taabu sana
DC ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Wilaya.Ingekuwa jerry ni afisa wa polis sawa. Maana wao ndio wamepewa mamlaka ya kutumia nguvu. Hakupewa yy kisheria.
Na yeye kavunja sheria
Daaa kuna watu wapole sana kama huyo konda, kwa nn hayanitokei yaliyompata konda? Dunia ingeniweka kwenye rekodi!
Wangeenda nchi jirani kuona traffic polisi wanatandika viboko makondakta wachafu...
...ILA na wananchi tulianza kulewa uhuru na haki...zama zimebadilika ni kujiandaa kisaikolojia otherwise tutakua tunahamaki tuu kila jambo...
Sawa lakin sheria zinampa nguv mtekelezaji sio mwenyekiti wa ulinzi na usalama.DC ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Wilaya.