Tetesi: DC Jerry Muro atuhumiwa kumchapa makofi kondakta wa basi wakati akijaribu kujitetea

Tetesi: DC Jerry Muro atuhumiwa kumchapa makofi kondakta wa basi wakati akijaribu kujitetea

Wangeenda nchi jirani kuona traffic polisi wanatandika viboko kondakta wachafu..wasiofuata sheria wangesemaje!

Well, kuna kasoro kadhaa ambazo baadhi ya viongozi wetu wanazionyesha kwenye utendaji wao namna wanavyotumia mamlaka...ILA na wananchi tulianza kulewa uhuru na haki...zama zimebadilika ni kujiandaa kisaikolojia otherwise tutakua tunahamaki tuu kila jambo.

#Mlisema mie mpole, Mabadiliko kuleta mkali (JK,2015)
Hiyo Ni nchi jirani sisi hatuna utamaduni wa hovyo namna hiyo mtu anakuja kukuomba samahani unampiga?
 
Ila acha wapigwe.kuna wakati madereva hawana akili.utasimamishaje gari kwenye zebra.watembea kwa miguu wapite wapi?
Gonga makofi tu.
 
Huyu dogo naona kaingia kichwa kichwa sana kwenye ofisi za walipa kodi
Kikubwa ni kumtenga tu, kamdhalilisha mkurugenzi wafanyakazi wote wanamkaushia akiingia kwenye ofisi, watu hawana time naye, akifika kwenye kijiwe sehemu watu wote wanaondoka, na akiongea hata la kuchekesha hakuna anayecheka wala kumjibu atatia akili, huyu jamaa hata sielewi kapate uDC
 
Tatizo mnataka kila kitu kulalama, kosa la jerry ni nini,lazima mtu upewe kitssa ili akili imkae mnajifanya mna huruma sana wakati upuzi wa madereva kutofuata sheria za barabarani ndiyo unasababisha ajali kila siku,
Yeye mwenyewe kavunja sheria kuzuia gari kwa mbele huoni kuwa angesababisha ajali?
 
Kasiimame kwenye Zebra wakati Ninja Muro yupo nyuma yako

Ni Mwendo wa vitasa tu
Kuna sheria za kufuatwa.. co unapiga watu kama ng'ombe. Ana bahati huyu angekuwa arusha mjin makondq wangetandika hilo gar mawe
 
Tatizo mnataka kila kitu kulalama, kosa la jerry ni nini,lazima mtu upewe kitssa ili akili imkae mnajifanya mna huruma sana wakati upuzi wa madereva kutofuata sheria za barabarani ndiyo unasababisha ajali kila siku,
Kosa la jerry ni kuchapa makof konda wkt kuna adhab za kisheria zipo wazi za kumuwajibisha konda na dereva wake
 
Hakutii sheria alitaka shuruti macho huna huoni hata masikio huna usikiii
Ingekuwa jerry ni afisa wa polis sawa. Maana wao ndio wamepewa mamlaka ya kutumia nguvu. Hakupewa yy kisheria.

Na yeye kavunja sheria
 
Si kweli hili. Na hata kama kweli wacha amlambe makofi. Ni wapuuzi hawa watu wa magari.
 
Jerry yupi?Kama niyule anayesemwa na Dada Mange kwamba anapumuliwa na wanaume wenzake basi wanaume wa Arumeru watakuwa na upungufu wa msuli wa kiume
 
Hivi angeguswa yeye ingekuwaje eti jamaani ? Mambo mengi haya yanatakiwa kukemewa ki halisia na viongozi na wananchi pia,
 
Wangeenda nchi jirani kuona traffic polisi wanatandika viboko makondakta wachafu...

...ILA na wananchi tulianza kulewa uhuru na haki...zama zimebadilika ni kujiandaa kisaikolojia otherwise tutakua tunahamaki tuu kila jambo...
 
Wakuu vetting ya RC Mtaka hamkumsikia Rais alivyosema?
Tutarajie kuona wakina Tom&Jerry wengi safari hii.
 
Usikute kamchapa mwanayanga mwenzie aliyekuwa akimpenda wakati jery akiwa msemaji Mkuu wa yanga.
 
Back
Top Bottom