Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Wewe una chuki labda au roho ya husda ambao ndio first level ya kuwa mchawi.Tumekusikia mkuu naona umefikisha ujumbe uliotumwaa kuja kuutangaza hapa na DC Jokate hongera sana na ni kweli anafanya kazi nzuri kila mtu anaona sema aende pole pole tu Rais amuona kazi zake....
sijawahi kukuvunjia heshima mkuu niheshimu km ninavyokuheshimuDada Joket, naona leo umeamua kujipigia promo, mrembo.
sina shaka na uwezo wa huyu binti,licha ya kuwapo tetesi kwamba ni usingizi wa bwana BUPIJI.Muda siyo mrefu kuna panga pangua tumbua inakuja.
Ni vizuri kuendelea ku trend masikioni na mitandaoni regardless ume achieve au huja acjieve chochote.
Vyombo vya habari vinaweza ku kubrand ukaonekana unapiga kazi.
Jamii nayo inajua nani anafanyakazi na nani ni porojo.
Changamkeni.
Heshima gani sasa na wewe umevunjiwa hapo? Jikaze mtoto wa kiume wewesijawahi kukuvunjia heshima mkuu niheshimu km ninavyokuheshimu
Nakupa heshima yako maana naona ni mkubwa kwangu so heshima yako lazima nikupe siwezi kukuvunjia heshima kama ulivyofanya....Nipo humu ndani zaidi ya miaka 15 so naijuwa hii site vizuri na kuheshimu watu wote humu ndani kuliko wewe umeingia hata mwaka bado huna unakuwa na maneno machafu....kila mtu ana freedom ya kuongea apendacho....Wewe una chuki labda au roho ya husda ambao ndio first level ya kuwa mchawi.
Hata mimi nampongeza kwa kuviibua vivutio vilivyopo hapo vya utalii.ni kwel hapo Tfs ilikua kama imepaacha hakuna action plan ya kueleweka.
Kiutalii walikuwa wanahifadhi tu bila kuwa na mikakakati.
Nchi za wenzetu uwepo wa hilo mto la kazimzumbwi tu bila hata kuunganisha na park ni hela tupu.
apewe hongera yake kwa kupaibua.
na nimeona anapropose kuwe na information center tourist nampa heko.
Pako vizur. Maeneo kama hayo wenzetu wanzung wanashinda na watoto wao wana fanya kayaks. Ile kuendesha mtumbwi inamkuza sana mtoto uelewa.
Uache kujiona kila kitu husda na wewe ni mchawi.
Wabongo wengi huwa tunabisha Kwa Hsia , na mahaba mtu Yuko radhi kutukana akitetea lakn ukimuomba data Kwa ajili ya utetezi wake hamna kila kitu ...... Nyanja ulizoainisha kupata data zake ni ngumu ...ni kweli Jokate anafanya vzuri kwenye media lakn tunahitaji data ili kuverify sifa anazopata hapo ndo kizungumkuti kinapoanzia...haya haya ya RC Mtaka wa Simiyu ...Wewe acha kufagilia sura za watu hapa na kusingizia watu wa kisarawe kwamba wamezubaa lete takwimu hapa kwamba ni ajira kiasi gani Jokate ametengeneza tangu awe DC ukiainisha zile za kudumu na za muda, ni mapato kiasi gani yameongezeka ukilinganisha kuwepo na kutokuwepo kwake, mambo gani mapya ya kimendeleo yanayoonekana ambayo hayakuwepo kabla yake.
Siyo kila siku kuleta porojo za mapambio ya sifa halafu acha kutumwa tumwa utadhani jini na kama una shida nae mfate huko Kisarawe mka ongee huko.
Anajitahidi sana huyu dadaAma kwa hakika Tanzania ingepata viongozi wenye kujitoa bila kujali maslahi yao binafsi,ubabe,majivuno,ukandamizaji na kiburi cha madaraka nchi ingesonga sana hii
Kwa anayoyafanya huyu binti kule Kisarawe hakika yanafaa kuigwa,sema tu nature ya wakazi wa wilaya yenyewe sio wachakarikaji wanamuangusha sana mheshimiwa DC kwa kutochangamkia fursa.
Ubunifu,uhamasishaji,ucheshi,uwazi,kusimamia maslahi ya wengi,kusikiliza na kutatua shida zao huo ndio uongozi bora.
Hongera Jojo kwa kuifanya kisarawe kuwa kubwa kulingana na ukaribu wake na jiji la Dar.
View attachment 1719125
Ama kwa hakika Tanzania ingepata viongozi wenye kujitoa bila kujali maslahi yao binafsi,ubabe,majivuno,ukandamizaji na kiburi cha madaraka nchi ingesonga sana hii
Kwa anayoyafanya huyu binti kule Kisarawe hakika yanafaa kuigwa,sema tu nature ya wakazi wa wilaya yenyewe sio wachakarikaji wanamuangusha sana mheshimiwa DC kwa kutochangamkia fursa.
Ubunifu,uhamasishaji,ucheshi,uwazi,kusimamia maslahi ya wengi,kusikiliza na kutatua shida zao huo ndio uongozi bora.
Hongera Jojo kwa kuifanya kisarawe kuwa kubwa kulingana na ukaribu wake na jiji la Dar.
View attachment 1719125
Anajitahidi sana huyu dada