Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Ama kwa hakika Tanzania ingepata viongozi wenye kujitoa bila kujali maslahi yao binafsi,ubabe,majivuno,ukandamizaji na kiburi cha madaraka nchi ingesonga sana hii
Kwa anayoyafanya huyu binti kule Kisarawe hakika yanafaa kuigwa,sema tu nature ya wakazi wa wilaya yenyewe sio wachakarikaji wanamuangusha sana mheshimiwa DC kwa kutochangamkia fursa.
Ubunifu,uhamasishaji,ucheshi,uwazi,kusimamia maslahi ya wengi,kusikiliza na kutatua shida zao huo ndio uongozi bora.
Hongera Jojo kwa kuifanya kisarawe kuwa kubwa kulingana na ukaribu wake na jiji la Dar.
Kwa anayoyafanya huyu binti kule Kisarawe hakika yanafaa kuigwa,sema tu nature ya wakazi wa wilaya yenyewe sio wachakarikaji wanamuangusha sana mheshimiwa DC kwa kutochangamkia fursa.
Ubunifu,uhamasishaji,ucheshi,uwazi,kusimamia maslahi ya wengi,kusikiliza na kutatua shida zao huo ndio uongozi bora.
Hongera Jojo kwa kuifanya kisarawe kuwa kubwa kulingana na ukaribu wake na jiji la Dar.