Mhe Shaka mueleze Mama Jiji la Dodoma wanakula zaidi ya urefu was kamba aliyo wapa
Iweje Jiji wapange na kuuza Maeve ya watu yanayo milikiwa kisheria kwa kisingizio Cha uvamizi bill walio vamiwa kukubaliana kulipwa hakozao kwanza? Mbona Magufuli alikataa eneo hilo kwakusema Hana hela za kulipa wamiliki was eneo la Nkuhungu broad acre na Matuli
Kuna ujanja mkubwa Sana ameufanya Mkurugenzi wa Jiji kupora maeneo ya watu na kuita mpango was kupanga Jiji
Mbona upanuzi wa Ikilu na ujenzi wa Magufuli City watu wamelipwa Hali zao bill kuchangia %asilimia?
Mbona ilipopita Sgr watu hawakuwa na hati miliki Wamelipwa Hali zao bila kukatwa asilimia ?
Mbona upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mjini Dodoma watu Makole wamelipwa bila asilimia kukatwa
Jiji wamepima maeneo na kujimilikisha vituo vya mafuta na miradi mikubwa kwenye maeneo yenye miliki za watu na pesa zimeingia mifukoni mwao sio serekalini huu ni wizi wa Wazi kabisa
Mhe Shaka mueleze Mpendwa Raisi anahujumiwa waziwazi kwa kisingizio Cha eneo limevamiwa Sana Uongo mtupu Wavamizi so wawalipe wenye Maeneo kwanza?
Eneo no Matuli Nkuhungu na Mnadani