Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Umekanya Waya, HaaMbona ni picha za shaka tu, hamna picha za mwamimba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekanya Waya, HaaMbona ni picha za shaka tu, hamna picha za mwamimba?
Ambayo hawayatekeleziMi nafikiri ifike mahali tuache kuandaa makongamano ya kuwapongeza watu kwa kutekeleza majukumu yao.
Ni upuuzi kwa kweli na haya sana sana yameshika kasi kuanzia awamu iliyopita. Tuache haya kama kazi zinafanyika hatuhitaji majukwaa kutangaza tutaona tu mabadiliko.Ambayo hawayatekelezi
🤔🤔🤔View attachment 2407948
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa(NEC) ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka, akizungumza wakati wa kongamano maalum la kumpomgeza Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuwatumikia Watanzania katika maendeleo, ambalo limeandaliwa na Jukwaa Jamii Mpya leo Novemba 5, 2022.
View attachment 2407947View attachment 2407950View attachment 2407951View attachment 2407952View attachment 2407953View attachment 2407954View attachment 2407955
Wanatafuta wanachama au ni kongamano la kumpongeza samia kwa kukopa??Wakati BAVICHA wao wanatafuta katiba Mpya wenzako huku wanatafuta wanachama siku ya Uchaguzi utasikia tumeibiwa, Sasa sijui wataibiwa kura au katiba
ila hata wasipofanya hayo masherehe nini kitabadilika? Kwamba hizo hela watakazosevu unadhani wewe utaziona? Yani hii ni nchale, Uiname nchale, uchutame nchale, usimame nchale.Ni upuuzi kwa kweli na haya sana sana yameshika kasi kuanzia awamu iliyopita. Tuache haya kama kazi zinafanyika hatuhitaji majukwaa kutangaza tutaona tu mabadiliko.
Mkuu wangu wa Wilaya anazidi kupendeza.Mbona ni picha za shaka tu, hamna picha za mwamimba?
matapel ya ccm nan huwa anawachagua ukiondoa bunduki na enguaengua ya wagombea wa chadema.Tafuteni Wanachama ili msijekutafuta mchawi
CCM walifanya utafiti na tafiti hiyo ikaonyesha ni asilimia 45 tu ya wanachama wa CCM wanaopiga kura,na kati ya hao,asilimia 50 huwa hawaipigii kura CCM.Tafuteni Wanachama ili msijekutafuta mchawi
Kweli huyaoni hayo yako huko CDM?matapel ya ccm nan huwa anawachagua ukiondoa bunduki na enguaengua ya wagombea wa chadema.
Vijana mnafanya kazi nzuri SanaView attachment 2407948
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa(NEC) ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka, akizungumza wakati wa kongamano maalum la kumpomgeza Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuwatumikia Watanzania katika maendeleo, ambalo limeandaliwa na Jukwaa Jamii Mpya leo Novemba 5, 2022.
View attachment 2407947View attachment 2407950View attachment 2407951View attachment 2407952View attachment 2407953View attachment 2407954View attachment 2407955
Wee, wapinzani ni sawa na mbwamwitu, wakali wanashambulia jukwaa utadhani vichaa, watawaruhusu kuamkia uchahuzi. NEC ilitangaza uchaguzi mdogo ila wapinzani watacanya kampeni baada ya kupiga kura!Kampeni za kijanja hizi, wawaache wapinzani nao wapige semina au mikutano kama hiyo...
Mwisho wa siku, wananchi wataamua waende na nani
kazi nzuri Sanaa Rais Samia Suluhu Hassan,View attachment 2407948
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa(NEC) ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka, akizungumza wakati wa kongamano maalum la kumpomgeza Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuwatumikia Watanzania katika maendeleo, ambalo limeandaliwa na Jukwaa Jamii Mpya leo Novemba 5, 2022.
View attachment 2407947View attachment 2407950View attachment 2407951View attachment 2407952View attachment 2407953View attachment 2407954View attachment 2407955
Wanga kamuwangia nani?Mkuu wanga wa Wilaya anazidi kupendeza.
Mwambie shaka aje atafute wanachama wapya huku kwetu tandahimbaWakati BAVICHA wao wanatafuta katiba Mpya wenzako huku wanatafuta wanachama siku ya Uchaguzi utasikia tumeibiwa, Sasa sijui wataibiwa kura au katiba