Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya uchaguzi!Kwa Sheria ipi?
Ndizo akili zetu za Kisukuma hizo mkuu!Sasa sherehe na uchaguzi vinausiana nn?
Hapo kwel kaz ipoNdizo akili zetu za Kisukuma hizo mkuu!
[emoji23][emoji23][emoji23]like i said before .... kazi yako ni nguuumuuu !!!Ya uchaguzi!
Hii ni moja ya nchi chache ambazo watawala wake wanadharau sana wananchi. Yaani mtawala anaamka tu siku na kuamua kupiga marufuku ya mambo yasiyokuwa kwenye sheria. Lah acha ifike tarehe 28/10 tuondokane mambo haya ya kishetani. Yaani nikupe mamlaka kwa kura alafu unakuja kunitawala kwa nguvu bila ridhaa yangu? Ni ushenziMhe.Kanoni huenda ana point ya msingi, huwezi jua utamadauni na hulka ya Wananchi wake, tuache Viongozi wapigekazi ndio maana mamlaka na Serikali za Wanadamu zimetajwa mpaka kwenye vitabu Vitakatifu ziheshimiwe.
Mhe.DC pigakazi tumekuelewa.
Wajinga wengi kuanzia na Kiongozi wenu, sijui kwanini hamwoni hata fedhehaHahahaaaa........ Umeshapanic bwashee!
Upinzan wa Nchi hii kuwa na Uwezo wa kushinda Uchaguzi wa Rais labda miaka 30 ijayo yaani mwaka 2050. Mark my words, hatuna Wapinzani bali tuna Wachumia Tumbo hakuna lolote lile ni Maigizo na Propaganda tusioelewa kama wewe ndio tunashupaza Mishipa ya Shingo na Kujipa matumaini Feki na kiendawazimu kwamba CHAMA KIKUU CHA UPINZANI ambacho kakina hata Ofisi yake ya HQ kwamba kitashinda Uchaguzi.Hii ni moja ya nchi chache ambazo watawala wake wanadharau sana wananchi. Yaani mtawala anaamka tu siku na kuamua kupiga marufuku ya mambo yasiyokuwa kwenye sheria. Lah acha ifike tarehe 28/10 tuondokane mambo haya ya kishetani. Yaani nikupe mamlaka kwa kura alafu unakuja kunitawala kwa nguvu bila ridhaa yangu? Ni ushenzi
Hapana hayo matangazo yalipaswa kuwa yanatolewa mwanzoni mwa kampeni ili MTU asipange ratiba zake siku ya uchaguzi.Mhe.Kanoni huenda ana point ya msingi, huwezi jua utamadauni na hulka ya Wananchi wake, tuache Viongozi wapigekazi ndio maana mamlaka na Serikali za Wanadamu zimetajwa mpaka kwenye vitabu Vitakatifu ziheshimiwe.
Mhe.DC pigakazi tumekuelewa.