DC Kihongosi: Wanaohoji mimi kuwachapa bakora Wafanyabiashara hawana hoja. Niliowachapa wamelipa sh 5,400,000.00 kama fidia

Upuuzi ilikuwa amri ya mahakama! Hata kama umepewa kacheo ndugu usijaribu huu upumbavu utakutana na mwamba ukuchambua hayo meno usiweze kujitetea popote! be ware miaka ya nyerere siyo hii
 
Haraka sana nitakuwa wa kwanza kuchangia gharama za wanasheria! Kumbe ni huyu huyu alimtishia Zitto kifo?
 
Hoja sio kulipa fidia,

Wala swala la Uzalendo;

Hoja hapa ni kwa DC kuchapa viboko wananchi, jukumu ambalo hakutumwa alifanye.

Wakoloni wachape Babu zetu viboko ,

Viongozi wetu nao watuchape. Hapana.

DC aombe radhi. Huo ndio uungwana.
Aombe radhi ya nini
Kwani mpaka sasa kuna kiongozi mkubwa wake aliyemkemea kwa maamuzi yake hayo!
Jua tu katika awamu mambo kama hayo ni sawa ndomana mpaka sasa unaona kimya
Kwa hiyo mzee tuvumilie tu acha tunyooshwee

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Kadhalika DC Kihongosi amewaponda wanaomsakama mitandaoni kwa hatua yake ya kuwachapa bakora wafanyabiashara hao na kusema wanaolalamika hawana hoja ya msingi na siyo wazalendo kwa taifa letu.
Kwani angewadai tu bila kuwachalaza viboko wasingelipa?
 
Does this justify the corporal punishment he executed to them?
 
ILA HUYO DC ASIZOEE AKAFIKIRI WATU WOTE WATAKUBALI HIZO ADHABU ZAKE ZA KIJINGA. IPO SIKU ATAKUTANA NA WATU WA KANDA MAALUM WAMNYOOSHE.
 
Iko siku na yeye watamlamba mboko tena za magereza.
 
Kama umewachapa viboko, fidia ni ya Nini? Hiyo inaitwa double jeopardy. Viboko ni adhabu kwa kosa alilotenda na fidia ni adhabu ya kosa pia. Sasa kumpa mtu adhabu mbili kwa pamoja Bali ni kosa.
 
Upuuzi ilikuwa amri ya mahakama! Hata kama umepewa kacheo ndugu usijaribu huu upumbavu utakutana na mwamba ukuchambua hayo meno usiweze kujitetea popote! be ware miaka ya nyerere siyo hii
Wapinga maendeleo wote na wahujumu lazima wacharazwe Kwanza viboko/bakora halafu ndio Mambo mengine yafuatie...
 
Angefanya hivi mkoani mara hawa kwa wakurya angekiona cha moto.

Wamuulize bwana slow slow kule ziwani alikuwa akijidai kwenda usiku kufanya doria kilichomtokea anajua mwenyewe hadi kuacha udisiii
 
Upuuzi ilikuwa amri ya mahakama! Hata kama umepewa kacheo ndugu usijaribu huu upumbavu utakutana na mwamba ukuchambua hayo meno usiweze kujitetea popote! be ware miaka ya nyerere siyo hii
Nyerere aliwahi kuwatandika viboko au bakora viongozi wa mgomo pale chuo kikuu Cha Dar es Salaam miaka ya 1960 ambao waligoma kusiwepo na makato ya mishara kwa wafanyakazi na pia wakagomea wasiende JKT...wakasema utawala wa Mwalimu eti ni 'afadhali ya mkoloni"..Mwalimu Nyerere alikasirika Sana akawatafuta viongozi wa mgomo na kuwacharaza bakora...baadaye Nyerere akaandika kajitabu kadogo akijibu hoja ya kejeli ya "afadhali ya mkoloni"
 
Wahehe ni kati ya viumbe wa ajabu wenye ujinga mwingi na kujikomba nawafahamu vizuri sana
Siku hizi wana kampeni ya kujiopendelea sana maofisini. Sijui ni ile kampeni iliyoanzishwa na Luhanjo akiwa na msela Kikwete Ikulu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…