DC Kiteto ni wakati wa kuitisha kikao cha wadau wa kilimo ili kuwaomba radhi

Joined
Sep 14, 2023
Posts
82
Reaction score
74
Kwenye sakata la zao la Mbaazi Kiteto, wakulima na wadau wa kilimo wameumizwa sana na Maamuzi yako yaliyokuwa yamejaa dharau, kiburi na Majivuno.

Mara zote ulikataa kusikiliza upande wa Pili wa wadau wa kilimo, wewe ukakumbatia kundi la Madalali.

Matokeo yake wakulima waliokuwa na mbaazi zao kwenye Canter wakitoka Shambani wakanyang'anywa. Na wengine waliopakia kwenye fuso wakitoka mashambani, walazimishwe kushusha godauni (ghalani) na hizo Mbaazi kukabidhiwa dalali marufu yeye na bosi wake wakazisafirisha hadi Dar es salaam bila ridhaa za wakulima.

Huyo dalali na bosi wake ambaye ndio huwa wanafanya nae kazi walikwenda kuuza Mbazi hizo zaidi ya Tani 30 kwa bei ya zaidi ya 2450/ na wao wamewapa wakulima hao baada ya kupokea pesa dar es salaam kati ya Tsh 2999/- hadi 2110/-huku wao wakitajirika na kununua Magari.

Kuna gari aina ya canter huyo dalali na boss wake wamenunua kupitia hela za wakulima wa Mbaazi. Hali inasikitisha sana, mkulima amebaki madkini ila Madalali waliopewa mbaazi zao na serikali wao wamerudi na magari.

Hiyo Canter ni pesa za wakulima wa Mbaazi hela walizokatwa.
 
Umeandika kwa hasira sana mpaka umekosea[emoji1787]
 
Umeandika kwa hasira sana mpaka umekosea[emoji1787]
Ila ameeleweka.Kwamba:-
1-wahuni waache udalali wa mbaazi za wakulima,
2-bei wanayonunulia hao "wezi" waitwao madalali ni ya kinyonyaji,
3-"viongozi" wahudumie watu wote kwa haki na waache kuegemea upande kitabia za kidalali aliyevaa hijabu kuficha uso,
4-waache kugombanisha jamii,
5-waache ukupe na kutamalisha ufukara kwa wakulima,
6-wakome kama walivyokoma kunyonya maziwa ya mama zao kwa kuwagombanisha wakulima na serikali
SIJAWEKA NUKTA
 
Kuna jamaa yake huyo aliyenda kuuza Mbazi za wakulima X Boss wake ametajirika kupitia unyonyaji wa Mbazi za wakulima na yeye kugeuka kuwa wakala, Mkupuo Moja tu wa kupeleka mbazi za wakulima dar es salaam Kwa njia haramu amenunua Canter na Bado amenunua Alizeti kupitia huo UFiSADI wa kutapeli wakulima akishirikiana na Viongozi mbali mbali, hata ukifuayilia Miamala ya huyo Boss wa X Kuna transaction nyingi ambazo hazina kichwa Wala miguu ila zimetokana wakulima kutapeliwa
 
Anaitwa "Ali Vaku"?Ni jina baya linaloashiria unyemeleaji,unyatiaji,ukwapuaji na mazonge yote ya wiziwizi tu.Ana "manda vaku"!
 
Huyo ni chambo Kuna Boss wake mwenyeji wa Singida ndio anapiga hizi deal huyu ni Vaku kama jina lake ila Boss wake yupo nyuma ni mtu alitepiga Hela sana Toka issue za Alizeti, ana historian ndefu ya Upigaji
Kama ni hivyo,mmeingiliwa mji wenu na vibaka sugu kutoka "Singapore"!Hao ni wazoefu.Msikae kimya.Tafuteni washauri wa kisheria na wataalamu wa ushirika wilayani wawape misaada na miongozo.
 
Kama ni hivyo,mmeingiliwa mji wenu na vibaka sugu kutoka "Singapore"!Hao ni wazoefu.Msikae kimya.Tafuteni washauri wa kisheria na wataalamu wa ushirika wilayani wawape misaada na miongozo.
Wada baraka za wataalamu wa ushirika Wilaya na ngazi zote wilaya, hao wametengeneza Minada ya ajabu ambayo hajawahi tokea Ta
 
Mtoke nje ya mji.Jiongezeni kama ulivyofanya hapa JF.
Tulileta malalamuko yetu jamiiforum mara zote tola walivyoanza , ila hamna hatua yoyote eliyochukuluwa Tunaona wanafaika wameanzs kuleta magari wslionunua kupitia deal hizi na kutoa kejeli, wakisema huu ni muda wa maokoto, Ukiona canter walizinunua kupitia deal za mida feki , utashanga Fogo kwenye akaunti yake haekosi 30millioni hapo amenunua canter 35milioni Kwa Minada miwili ama mitatu huku Kijana wake Ali Vaku akibadilisha wanawake
 
Mtoke nje ya mji.Jiongezeni kama ulivyofanya hapa JF.
Tulileta malalamuko yetu jamiiforum mara zote tola walivyoanza , ila hamna hatua yoyote eliyochukuluwa Tunaona wanafaika wameanzs kuleta magari wslionunua kupitia deal hizi na kutoa kejeli, wakisema huu ni muda wa maokoto, Ukiona canter walizinunua kupitia deal za mida feki , utashanga Fogo kwenye akaunti yake haekosi 30millioni hapo amenunua canter 35milioni Kwa Minada miwili ama mitatu huku Kijana wake Ali Vaku akibadilisha
 
Tafuteni viongozi wanaotoka nje ya mji na vyombo vya habari vitangaze.Si wote wanapenda uonezi kama ulichokileta kina ukweli.Na hata ulivyoandika hapa kimeonekana.
 
Duuh inasikitisha sana jamani!

Kilimo kilivyo kigumu Halafu Dalali afaidike kirahisi kumzidi Mkulima?

Hapana kataeni huo ujinga , kama noma na iwe noma.
Huyo dalali anapewa mzigo kutoka kwenye ghala la serikali Kwa njia za pants , akiuza ndio wakulima wanabalanciwa bei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…