DC Kiteto ni wakati wa kuitisha kikao cha wadau wa kilimo ili kuwaomba radhi

DC Kiteto ni wakati wa kuitisha kikao cha wadau wa kilimo ili kuwaomba radhi

TAKUKURU,TISS na wakuu wengine watafanyia kazi.Mambo kama hayo huleta manung'uniko,lawama na kuzusha ghasia.Wenye akili na wasafi hawawezi kuliacha hivihivi.
Tunataka kujuwa mbazi zolizotoka ghalani alizozisafirishs Dalali na Nyoka wa Tajiri Moja aliyetajirika na Ushirika hapo Matui kuanzia kwenye Alizeti, Jee hizi mbazi dalali mkubwa alipewa kama nani? Na Kwa Maslahi yapi! Tunakuwa Kuna badhii zilipata matatizo ya kibali maeneo ya Makunganya na wakatoa rushwa kwakuwa document hazikuwa Halali, Tunajuwa Dalali aliyepewa kuuza Dar es salaam na hata akaunti number ya huyo dalali maarufu Kwa wafanyabiashara wa Kiteto aliyepokea hizo mbazi, Piya Tunajua Akaunti ya mtu wa Kiteto aliyepokea hizo Hela kutoka Dar es salaam, na huyo mtu kuanza wa kuwabalanciya wakulima akianza na wale Jamaa wa canter walioporwa mbazi,then Mmasai, na mwengine yule aliyepewa Kesi na kulipishwa Hela Laki tatu na Gunia kumi kuchukuliwa, Au Bado mnataka ushahidi mwingine?
 
T
Mkuu wa wilaya atakua kala mlungula,hiii inaumiza wakulima sank
Dalali na mwenzake mmoja waliopeleka mbazi Dar Kwa dalali wso Kwa Maslahi Yao plus matokeo ni Canter mpya iliyonunuliwa kutokana Stakabadhi ghalani, huku wakulima wakiambuwa mbaxi zenu Zina ukijani , chafu soko la Dar es salaam zimekaraluwa tumekopesha Kwa 2000) kw kg huku wao wakurudi na Gari aina ya canter iliyopatikana kwenye Mbazi zahai wakulima
 
Back
Top Bottom