Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bagonza na Dr Kitime wanatimiza majukumu yao kwa asilimia 100.

Msikilize na mlevi mwingine huyu kutoka Lumumba
Askofu Bagonza na Padre Kitime ndio Vionozi Pekee wanaoongozwa na Roho wa Mungu kama Nabii Yeremia na Nabii Eliya wa leo.
 
Shukrani nyingi zimwendee aliyemdukua, huyu mjinga alikuwa anaropoka akijua hakuna anayemrekodi, Masikini wasipewe vyeo, wakivipata wanajipa Uungu
Oooohh kumbe ndio maana Msigwa mkamnyima Uenyekiti wa Kanda sababu hana hela kumzidi Sugu 😂😂😂

Ndo maana tajiri Mbowe chama haachii kwa maskini akina Lissu na Heche!!
 

Anaitwa nani huyu bwana?

Mchengerwa na Wizara yake tayari wamemaliza kazi huko mitaani kuhusu uchaguzi wa serikali za Mitaa; na ni hao hao watakao kamilisha shughuli za Uchaguzi Mkuu 2025!

Sasa waTanzania wanataka waambiweje ndipo waelewe; kwamba zoezi la kwenda kupiga kura halina maana yoyote?

Na kama wanaelewa hivyo, kwa nini hali hii isiwastue na kufanya jitihada za kulinda haki yao ya msingi ya kuchagua viongozi wanao wataka wao badla ya kuwekewa viongozi na CCM?
 
Oooohh kumbe ndio maana Msigwa mkamnyima Uenyekiti wa Kanda sababu hana hela kumzidi Sugu 😂😂😂

Ndo maana tajiri Mbowe chama haachii kwa maskini akina Lissu na Heche!!
Kumbe Lissu na Heche ni masikini? Nilikuwa sijui.
 
Yes kwa maana refa yupo kwa uoande mmoja,
Labda sheria ziabadilike
Iko hivi, asilimia kubwa ya changamoto tunazo zipata, (pitia), zinasababishwa na binadamu kwa makusudi ama bila kujua hata yeye mwenyewe anaweza kujisababishia changamoto bila kujua kwa, wivu uzembe, uvivu ujinga na ushamba hata tamaa
 
Huyu DC angefaa sana kuwepo kwenye Mdahalo wa jana lkn ndiyo hivyo tena.
 
Iko hivi, asilimia kubwa ya changamoto tunazo zipata, (pitia), zinasababishwa na binadamu kwa makusudi ama bila kujua hata yeye mwenyewe unaweza kujisababishia changamoto bila kujua kwa, wivu uzembe, uvivu ujinga na ushamba hata tamaa
Nini kifanyike sasa?
 
Amesema ukweli.
 
Yes kwa maana refa yupo kwa uoande mmoja,
Labda sheria ziabadilike
Iko hivi, asilimia kubwa ya changamoto tunazo zipata zinasababishwa na binadamu kwa makusudi ama bila kujua hata yeye mwenyewe anaweza kujisababishia changamoto bila kujua kwa uzembe, uvivu ujinga na ushamba
Nini kifanyike sasa?
Elimu ya kukabiliana na majanga,(how to overcome uncertainty), lakini chanzo kikuu ni jamii ndiyo ilaumiwe kuto chukua hatua jamii ni wewe yule, huyo niliyo naye karibu na mimi yaani tukiendelea kunyamaza hata arudi huyo aliye ahidi kurudi hata fanya chochote Mungu katupa akili na utashi lakini sisi ni wazembe tunawafurahia wanao ahirisha kufikiri kwa nafsi zao yaani kujizima data,tena tunawasifu na kuwapigia makofi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…