Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Hapo ni dharau kwa Serikali na chama ila siyo kwa Wananchi.Ni dharau kwa wananchi. Yaani ni kama mwizi anakuibia halafu anarudi kukutambia. Au jamaa anachukuwa mke wako halafu anarudi kukutambia kuwa huwezi kumfanya chochote.