evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Siyo yeye ni Serikali ndio ilifanya hayo mambo huko maporini.Afukuzwe na aseheme alifanya nini kwenye mapori,huenda aliuua,poor Tanzania!!
Nitaachaje kumpenda mtu asiye na unafiki?Ukweli gani? Wewe unawapenda?
Sura kama hizi ndizo zilizojaa kwenye nafasi za utawala na uongozi. Isivyokuwa bahati hata watumishi wa Serikali kwenye nafasi zao wanafanana na huyo jamaa hapo juu kwa kauli na matendo yao. Wale wanaoingia mara kwa mara kwenye ofisi za Serikali wanaelewa hali ilivyo.Kwani Rais hawapendi wasema kweli?
Hawa wapumbavu ni swala la muda tu Tena imebaki kidogo sana watakimbia.
Mapovu yatakuwa yanatoka muda woteHawa Watauana Safari hii
🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Komenti bora ya bandiko hili.Na hapa ndipo chadema Huwa mnashindwa kushika dola !
Kwanini!!!?
Kuna watu wenye akili hujifanya wajinga Kwa lengo maalum na nyie huwaona wajinga badala ya kuwaona wenye akili!!
Wapuuzi kivipi wakati huyo kasema kweli tupu?Kuna haja ya kuanzisha shule Ya kukuza uelewa Kwa viongozi wapuuzi kama huyu DC,anaongea ambayo mama hayataki
Hivi hawa viongozi wa CCM huwa wanajiuliza madhara ya maneno Yao kwa wananchi yatapokelewaje?
Kuna chama kimebaki na mipini tu majembe yote yashajitafutia mahala Sasa,nawahakikishieni kunakucha soon.
Huyo siyo mjinga, kaamua kufunguka ukweli.Hivi Mtu Mjinga kama huyu aliwezaje kuwa DC?
Haya wanaosemaga kwamba hakuna ushirikina, nini hicho? Huyu jamaa karogwa hapo na wale ndugu wa marehemu aliowaua.Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.
Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.
Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.
Asante sana CCM, idumu.
"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!
"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.
"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.
"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."
Pia soma:
Sio mwehu Mungu huyo anakuadhirisheni ma CCM kwa dhambi mlizozifanya na mnazoendelea kuzifanya na huyu inaonesha alihusika kwa wale ndugu zetu waliopogezwa wakati ule.Nape mwingine huyu, hawa wehu must go na ana maana gani alihusika kwenye yale mapori?
Mazingira ya kwenye mapori ndio yapi au ndio Yale ya watu kutekwa na kutupwa porini na kama ndio hivyo kumbe Sasa mpaka Sasa wanahusika na watu kupoteaSiamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.
Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.
Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.
Asante sana CCM, idumu.
"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!
"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.
"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.
"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."
Pia soma:
Kuteka, kupotezaana maana gani alihusika kwenye yale mapori?
MkuuHata kama mmetengua uteuzi wake lakini Marco Ng’umbi kasema ukweli mchungu.
Kauthibitishia Umma mambo matatu-;
1. Kathibitisha kuwa Maccm hatakubaliki,
2. Kathibitisha kuwa maccm huwa yanaiba Kura,
3. Kathibitisha kuwa Serikali huwa inateka watu na kuwatupa kwenye mapori.View attachment 3084434
Hoja sio kuwa mama hataki kusia hayo, ila huu ni ushahidi kuwa uchaguzi ni maigizo tu mara nyingi kuna uchakachuaji. Ilianzia kwa Nape sasa imekuja kwa huyu, hii ndio sababu kila mara watu wanataka Tume huru ya Uchaguzi ili wakushinda ashinde na wakushindwa ashindwe.Kuna haja ya kuanzisha shule Ya kukuza uelewa Kwa viongozi wapuuzi kama huyu DC,anaongea ambayo mama hayataki,akiwemo ofisini kufikia kesho itakuwa ni doa Kwa serikali yetu.
Hivi mboga na ugali bado vinamwagwa huko njia panda?Wapuuzi kivipi wakati huyo kasema kweli tupu?